Nimesoma Bachelor of commerce in marketing UDOM, natafuta kazi

Nimesoma Bachelor of commerce in marketing UDOM, natafuta kazi

Ibrahim daud

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
609
Reaction score
524
Naitwa groly
Miaka 24
Kutoka UDOM
BINTI mdogo sana kutoka familia ya maskini
Mwenye fursa mm napatikana
+255 684 273 124
 
Kheeeeeh wee Ibrah imekuaje tena ukawa Glory? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
But nwei, wanakuja.
 
Maskini huwa tunasomea ualimu au udaktari.ilikuaje we unajiita maskini afu umesomea marketing?
 
Naitwa groly
Miaka 24
Kutoka UDOM
BINTI mdogo Sana kutoka familia ya maskini
Mwenye fursa mm napatikana
+255 684 273 124
Nafikiri haya mawazo ya mtu kujiita maskini ndio apewe nafasi mm siyapi Sana kipaumbele me nadhan hyo cv yake inatosha tu mtu mwenye mchongo kumpa ...kikubwa now Ni competency issue za. Umaskini ndio hua zinafanya tunamkataa mtu tajiri mwenye sifa kwa kuamini maskini mwenzetu Ni Bora kwakua anajua shda zatu na akishapata sasaa daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jiunge ajira portal ya utumishi for starters
 
Back
Top Bottom