Nimesoma ilani ya CCM aka Thesis, ya CHADEMA, na ACT-Wazalendo. Kusema ukweli ACT-Wazalendo wamedhihirisha wana wasomi vichwa.
Kwanza wamechambua mapungufu katika utekelezaji wa ilani ya chama kilichotawala 2015/2020 ( performance assessment), harafu wakatoa ahadi zao pamoja na kuonesha ahadi zao zitatekelezwa vipi. Na gharama ya miradi ni shilingi ngapi. ACT-Wazalendo wameainisha mpaka vyanzo vya mapato.
Kingine ambacho kinanifanya nivutiwe na ACT-Wazalendo ni jinsi walivyojipanga, focus, utulivu, na kutumia maneno yenye staha kwenye kampeni.
Hongereni ACT-Wazalendo
Hongereni vichwa wa ACT-Wazalendo. Ningekuwa na uwezo, tungeomba chama kile kitumie ilani yenu. Namaanisha wale wenye Thesis.
Viva Membe, Viva
Kwanza wamechambua mapungufu katika utekelezaji wa ilani ya chama kilichotawala 2015/2020 ( performance assessment), harafu wakatoa ahadi zao pamoja na kuonesha ahadi zao zitatekelezwa vipi. Na gharama ya miradi ni shilingi ngapi. ACT-Wazalendo wameainisha mpaka vyanzo vya mapato.
Kingine ambacho kinanifanya nivutiwe na ACT-Wazalendo ni jinsi walivyojipanga, focus, utulivu, na kutumia maneno yenye staha kwenye kampeni.
Hongereni ACT-Wazalendo
Hongereni vichwa wa ACT-Wazalendo. Ningekuwa na uwezo, tungeomba chama kile kitumie ilani yenu. Namaanisha wale wenye Thesis.
Viva Membe, Viva