Nimesoma kozi ya Mawasiliano kwa Umma, natafuta kazi

EMMONEY

New Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
3
Reaction score
3
Habari zenu watanzania ndugu zangu

Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya uandishi na utangazaji wa habari, call center au afisa uhusiano wa umma

Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo Dar es salaam wilaya ya Ubungo,kimara.Asanteni
 
Nimemaliza chuo kikuu,

All in all good luck, but add some information especially
You address
Phone number
Skills
Experience etc

Be innovative.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…