Nimestaafu

Nimestaafu

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
Ndugu zangu wapwa, shangazi na wengine kwa ujumla mimi Fidel nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama cha kujiexpress kwa hiari yangu mwenyewe bila kushrutishwa na kiumbe yeyote yule. Nimeona sipati faida yeyote ile ndo maana nimeamua kutamka wazi wazi kuwa nimeacha rasmi, mnichukulie mtu wa kawaida tu sasa maana wengine walikuwa wananiogopa napo pishana nao barabarani zile KY zote nimesha zichoma moto...nilio wakwaza kwa kutumia huu mtandao naomba mnisamehe.
 
hehehe shekhe njia iliziba ukapigwa bomba nini??

pole sana kwa kujiondoa kwenye karamu na hongera kwa kuamua kuishi kiseja shekhe
 
hehehe shekhe njia iliziba ukapigwa bomba nini??

pole sana kwa kujiondoa kwenye karamu na hongera kwa kuamua kuishi kiseja shekhe

Nimeamua kurudi kundini nashukuru kwa kunipokea nilijua mtanikana.
 
Ndugu zangu wapwa, shangazi na wengine kwa ujumla mimi Fidel nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama cha kujiexpress kwa hiari yangu mwenyewe bila kushrutishwa na kiumbe yeyote yule. Nimeona sipati faida yeyote ile ndo maana nimeamua kutamka wazi wazi kuwa nimeacha rasmi, mnichukulie mtu wa kawaida tu sasa maana wengine walikuwa wananiogopa napo pishana nao barabarani zile KY zote nimesha zichoma moto...nilio wakwaza kwa kutumia huu mtandao naomba mnisamehe.
eeh!
MPWA....!hongera sana
 
kaka FIDEL
juzi kati hapa nilipata ofa kwenda kibaha kuna kabinti ka mama yake kalikuwa kanataka sana nikajiexpress kwake. naomba nisiendelee na story maana shemeji zangu wanasoma humu... hehehe
 
Fidel.... kama ni damage ilishafanyika.... utasafisha na sabuni gani hadi utakate?
 
Itabidi ufunge kula kwa muda wa siku 40 ili Sir God apokee toba yako.
 
Fidel.... kama ni damage ilishafanyika.... utasafisha na sabuni gani hadi utakate?

jamani tumkaribishe kwanza kaamua kuokoka, halafu hayo mengine tumuachie mwenyewe.
 
wapwa tunafikiria kufunga kula na kunywa maalum kwa ajili ya kumshukuru mungu kwa namna alivyomnusuru mpwa
 
Hongera sana Mpwa kwa uamuzi uliochukua ndugu yangu
Ila najua unakumbuka kuwa mimi nilikuwa mstari wa mbele kupinga hiyo iliyokuwa tabia yako ya kujiexpress. Nashukuru at the end umeacha. Hongera sana Fidel80
 
Bado Mpwa wetu mwingine Masa
Najua yuko around the kona kuachana na hii mambo
Tunakusubiri bestie utuabarishe kama alivyofanya Mpwa Fidel80
 
Bado Mpwa wetu mwingine Masa
Najua yuko around the kona kuachana na hii mambo
Tunakusubiri bestie utuabarishe kama alivyofanya Mpwa Fidel80


Ngoja niendelee kumwakilisha mkitaka uzoefu mimi naona nimejikita huko huko
 
Kwa hiyo unanishauri niendelee na libeneke kama kawa au?
Aaah Mpwa, sasa kama umeamua kuacha kwa hiari, iweje tena urudi kwa kushauriwa? Mimi bado nitaendelea kukuchunguza kama umeacha kweli, then hapo ndipo nitakapokupongeza. Kwa sasa bado nina mashaka !!
 
Hongera kwa maamuzi yako ... japo wapo ambao huwa wanasema mtu akianza mchezo huo huwa hawaachi.
 
Bora usi-fall into relapse.... uko 'clean' kwa muda was siku ngapi ama ni masaa mangapi??? ahahahhaha!
 
Back
Top Bottom