Nimestaafu


"...japokuwa dhambi zenu zilikuwa nyekundu kama Bendera, sasa mtang`ara kama theluji"!

Acha dhambi kwa kudhamiria, na usirudie.
Otherwise, be blessed.
 
Nafuu umeacha...........tigo kinyaaaa.
 
wengine tumeshalipia kozi za tigo,muasisi kaamua kuacha,lol!
 
H/boy,

Sasa naona hata ile project 2010 campaign mtaifanya vizuri na mkuu Geoff.......!
 
H/boy,

Sasa naona hata ile project 2010 campaign mtaifanya vizuri na mkuu Geoff.......!
swadakta homeboi!.....ameniacha njia panda hata ivyo.mimi tigo ndo inazunfuka kwenye damu sasa,YEYE ANAACHA!
 
swadakta homeboi!.....ameniacha njia panda hata ivyo.mimi tigo ndo inazunfuka kwenye damu sasa,YEYE ANAACHA!

Mi bado najiuliza kama huyu mwanachama yuko siriaz. STUKA!
 
inaweza kuwa danganya toto?!!!!!....ili mashoriiz wakitongozwa waingie kingi mpela-mpela

Hapo ndipo napopafikiria zaidi. Mabinti wasim-underestimate huyu mpwa wangu. Shauri yao! Stuka!
 
Hapo ndipo napopafikiria zaidi. Mabinti wasim-underestimate huyu mpwa wangu. Shauri yao! Stuka!

Wapwa mtu anapo rudi kundini kwa nini mnamtilia shaka jamani au mnataka niendelee kujiexpress?
 
Wapwa mtu anapo rudi kundini kwa nini mnamtilia shaka jamani au mnataka niendelee kujiexpress?

Hahahah! Tunaufanyia tathmini uamuzi wako. Matokeo tutapeleka CHAWOTE na copy ZERO PUB.
 
Wapwa mtu anapo rudi kundini kwa nini mnamtilia shaka jamani au mnataka niendelee kujiexpress?
develop tu lijendi!mbona mimi nimejifunza juzi tu na ninainjoi!kimsingi sifikirii kuacha😀
 
"...japokuwa dhambi zenu zilikuwa nyekundu kama Bendera, sasa mtang`ara kama theluji"!

Acha dhambi kwa kudhamiria, na usirudie.
Otherwise, be blessed.


Swadakta, nakutakia mpwa maisha mema ndani ya Kristu. Amebakia BLURAY tu kumjua na kumwamini Mungu.
 
H/boy,

Sasa naona hata ile project 2010 campaign mtaifanya vizuri na mkuu Geoff.......!

Dah home boy tumekutafuta sana get tugedha hujapatikana hii ishu ipo jamaa anaanza 2010
 
Hahahah! Tunaufanyia tathmini uamuzi wako. Matokeo tutapeleka CHAWOTE na copy ZERO PUB.

Hahahaha duh mtume nastaafu alafu ile ishu ya ZERO PUB sijaonja
 
dada ako hajui!tena usimwambie.ngoja nitoroke nikalione hilo kombe la dunia shortly....

Hahaha! Unaenda kushangaa dhahabu au? Si uwahi pale bulyanhulu ukaangalie matani ya dhahabu yanavyosafirishwa kinyemela kwenda kwa wenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…