nimetegua shingo

Jipake Mafuta ya zaituni kwenye shingo yako. kisha Weka mkono wako juu ya sehemu inayokuuma na kisha useme maneno haya

''Kwa jina la Mwenyeezi Mungu'' Sema hivyo mara 3

Kisha Sema hivi mara 7 .
Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na kwa uwezo wake kutokana na shari ya ninachokisikia na ninachokiogopa”

Soma na pakaa hiyo Dawa kutwa mara 3 kwa muda wa siku 3 kisha unipe Feedback.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…