Nimetembea hospitali 5 sioni tatizo

Nimetembea hospitali 5 sioni tatizo

kanali mstaafu

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
4,318
Reaction score
4,105
Tangu tarehe 26 nimeanza kuwa na dalili zifuatazo;
.Kuumwa kichwa
.Kukosa hamu ya kula
.Homa kali natetemeka sana
.Nakuwa nahisi mishipa ya upande wa kushoto kwenye moyo inakaza japo kwa mbali

Nimeenda hospitali nimepima malaria, typhod na UTI ila sijabaini ugonjwa wowote kati ya hayo. Najua huku kuna madaktari wenye taaluma.

Naomba tusaidiane.
 
Tangu tar 26 nimeanza kuwa na dalili zifuatazo
.Kuumwa kichwa
.Kukosa hamu ya kula
.Homa kali natetemeka sana
.Nakuwa nahis mishipa ya upande wa kushoto kwenye moyo inakaza japo kwa mbali

Nimeenda hospital nmepima malaria, typhod na UTI ila sijabaini ugonjwa wowote kati ya hayo. Najua huku Kuna madaktari wenye taaluma.
naomba tusaidiane.
Asali na ndimu changanya kwenye maji ya moto kwa uwiano huu maji robo lita, asali vijiko 3-5, na nusu ndimu mara 2 kwa siku... Unaweza pia kuongeza na kitunguu saumu
Wakati wa kuoga ogea maji yalichanganywa na chumvi... Fanya hivyo kwa wiki moja
 
Matatizo yako yako kwenye circulation system.
Pima
1. Blood count
2. White blood cell count
Kunywa angalau lita mbili za maji kwa siku.
Mkuu, nafikiri Total blood cell count, inajumuisha pia White blood cell count. ..ndo maana kuna term moja tu Full Blood Picture (FBP). Hata huo uwingi wa damu utaukuta (haemoglobin)
 
Ni magonjwa yanayo tusumbua wengi, Kama hiyo UTI inawasiliana jinsia KE wengi Sana. Nadhani hiyo itakuwa sababu
 
Asante sana Dada yangu. Naomba unitoe tongotongo unifafanulie kuhusu blood count Dada yangu.
FBC au Full Blood Count itamuwezesha daktari anaekutibu kujua hali ya cells zako mwilini. Cell kwa Kiswahili ni chembe hai.
 
Tangu tarehe 26 nimeanza kuwa na dalili zifuatazo;
.Kuumwa kichwa
.Kukosa hamu ya kula
.Homa kali natetemeka sana
.Nakuwa nahisi mishipa ya upande wa kushoto kwenye moyo inakaza japo kwa mbali

Nimeenda hospitali nimepima malaria, typhod na UTI ila sijabaini ugonjwa wowote kati ya hayo. Najua huku kuna madaktari wenye taaluma.

Naomba tusaidiane.

Una miaka mingapi?
Una Kg ngapi au BMI yako ni ngapi?
mara ya mwisho pressure yako ulipotembelea hospitali ilikua ngapi?
kichwa chote kinauma?Unaweza kusema ni upande upi wa kichwa?
maumivu ya kichwa unaweza kuya grade vipi? e.g ya kawaida au Makali sana?
Ukitumia Paracetamol(PCM) yanapungua?
Haujawai kupoteza fahamu au kuhanguka kifafa au kukakamaa mwili?
Je ulipowekewa thermometer ilisoma Temperature ya ngapi?
emu elezea hiyo bullet ya mwisho je ni maumivu ya kifua kwenye upande wa kushoto?
usipendelee kutumia maneno kama mishipa sijui inauma unampotosha daktari.

Elezea pia kila dalili ulizotaja hapo zina siku ngapi

my impression kwa maelezo yako ni vitu vitatu.

1. Tatizo la Moyo/Cardiovascular problem
2. Infection kwenye ubongo i.e meningitis
3. Migrane au Tension headache e.t.c

Naomba ujibu maswali yangu bila kuluka hata msitari nkupatie way forward!
 
Tangu tarehe 26 nimeanza kuwa na dalili zifuatazo;
.Kuumwa kichwa
.Kukosa hamu ya kula
.Homa kali natetemeka sana
.Nakuwa nahisi mishipa ya upande wa kushoto kwenye moyo inakaza japo kwa mbali

Nimeenda hospitali nimepima malaria, typhod na UTI ila sijabaini ugonjwa wowote kati ya hayo. Najua huku kuna madaktari wenye taaluma.

Naomba tusaidiane.
Dah.! ulienda hospitali au kimaabara cha mtaani? Kwa dalili ulizotaja hivyo vipimo vilivyofanyika havitoshi kabisa
 
Hivi kwanini Hospitali/Maabara nyingi huwa wanapenda/wamekariri kupima uti, typhod na malaria?
Wanakua hawajui wanachofanya, yani hawaelewi kua vipimo hua vinaendana na differential ulizo nazo.
 
Hivi kwanini Hospitali/Maabara nyingi huwa wanapenda/wamekariri kupima uti, typhod na malaria?
Yaani ukienda lazima wakupime hivi. Na UTI imrkuwa fasheni, ukiambiwa hauna wewe una bahati hata kama kweli hauna.
 
sasa mkuu wewe kupima malaria, typhoid na UTI ndio umemaliza?
Ni hospitals gani hizo ulienda hawakuona ugonjwa halafu wakakuacha hivyo hivyo bila majibu?
 
Tangu tarehe 26 nimeanza kuwa na dalili zifuatazo;
.Kuumwa kichwa
.Kukosa hamu ya kula
.Homa kali natetemeka sana
.Nakuwa nahisi mishipa ya upande wa kushoto kwenye moyo inakaza japo kwa mbali

Nimeenda hospitali nimepima malaria, typhod na UTI ila sijabaini ugonjwa wowote kati ya hayo. Najua huku kuna madaktari wenye taaluma.

Naomba tusaidiane.
''Mucus is the Cause of Every Disease. Eliminate the Mucus and You Eliminate Disease''
Kamalize Vipimo vyote ulivyo ambiwa na Wadau humu ndani ukiwa bado haujapona nitafute nipate kukutibia ili uweze kupona.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au bonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
''Mucus is the Cause of Every Disease. Eliminate the Mucus and You Eliminate Disease''
Kamalize Vipimo vyote ulivyo ambiwa na Wadau humu ndani ukiwa bado haujapona nitafute nipate kukutibia ili uweze kupona.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au bonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Mkuu mchaichai, mpera na mkomamanga una siri gani!?!?
cc Mshana Jr
Hekima zako pia weza ongeza.
 
Back
Top Bottom