Nimetembea na msichana wangu wa kazi, mke kajua kimenuka

Nimetembea na msichana wangu wa kazi, mke kajua kimenuka

Kyawanjubu

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2017
Posts
2,452
Reaction score
2,197
Habari zenu ndugu zangu,

Nimekua nikipata misusuko kwenye mahusiano na mke wangu huyu hii imekua too much, mke wangu alifiwa na baba yake tukaenda msibani, nyumba tukamwachia dada wa kazi, baada ya mazishi mimi nikarudi nyumbani, tumekaa siku tatu siku ya nne nikashindwa uvumilivu kama ile nyimbo ya Keisha nilirudi usiku nikiwa nishapiga tungi kidogo.

Basi usiku huo kulikua na mvua nikashindwa kabisa kulala nikamfata chumbani kwake alikokua kalala na mwanangu mkubwa wa miaka 5 nikamshtua nikamwambia njoo chumbani akaja baada ya dk 5 kilichoendelea sijui.

Sasa huyu mpuuzi kesho yake akaanza kiburi anamjibu mke wangu vibaya kwenye simu mara amwambie sitaki kazi za ndani tena baada ya mke wangu kurejea amembananisha mpaka kasema nimekula mzigo.

Toka juzi mke wangu hali yake imebadilika presha ilipanda, nikabeba kupeleka hosptali najuta mimi kwa upuuzi niliofanya.
 
Machangu huko barabarani siku hizi hawapo tena au?

Unatia aibu.. vibao vinakuhusu na kuachwa juu.
 
Usijal sio wewe ni pombe plus sheteni

Yajenge na wife kiri kosa omba msamaha yataisha tu boss

Vp lkn housegrl ni watamu au magumashi tu?
 
Baki3 katekeleza wajibu wake yupo hapo kusaidia kazi za ndani kuhakikisha familiar haipungukiwi yeye anaziba sioni kosa lake kosa la mke ni kushindwa kutambua majukumu ya beki 3 aelimishwe kuwa hilo ni mojawapo anapokuwa safari
 
Wewe unadhani wao wanapenda kuwa beki 3 kila siku?
Nao wanapenda wamiliki mume. Hapo ndipo tunapoharibu wanaume.

Mademu wamejaa kila kona hata wanaojiuza ungekuja naye kutoka huko ulikonywea hizo pombe.

Sasa angalia ulivyomuaibisha mkeo!!!!

Omba msamaha na utubu na kukiri kutorudia.
 
kwahiyo ulivokuja huku wife ndo atakusikia kua umejutia kosa !!!
 
sasa we jamaa umekula mbuzi mzima umeshindwa mkia...ungemkazia tu...halafu kesho yake unafukuza kwan ulivyomgonga papuchi ya beki tatu ilikaa usoni mwako
 
WAFANYA KAZI WA NDANI NI VIRAKA WAO WANAANGALIA MAPUNGUFU YUKO WAPI ALAFU WANASAIDIA, KWAHIYO HAPO KUANGALIA MAPUNGUFU KAKUSAIDIA UNATAKIWA USHUKURU SANA.

KAMA UTAWEZA ACHA MKEO OA BEKI TATU
 
Back
Top Bottom