displayname JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 1,972 Reaction score 1,085 Jun 2, 2021 #41 tupa picha ya beki 3 ndio tushauri cha kufanya!!!!!
U Usalama barabarani JF-Expert Member Joined Dec 12, 2017 Posts 867 Reaction score 1,066 Jun 2, 2021 #42 Hakuna mrejesho?
Josaje Mtui JF-Expert Member Joined Oct 1, 2016 Posts 2,461 Reaction score 2,158 Jun 3, 2021 #43 bandamo said: Baki3 katekeleza wajibu wake yupo hapo kusaidia kazi za ndani kuhakikisha familiar haipungukiwi yeye anaziba sioni kosa lake kosa la mke ni kushindwa kutambua majukumu ya beki 3 aelimishwe kuwa hilo ni mojawapo anapokuwa safari Click to expand... Foward ikipanda beki tatu haichezi mbali na 18 inakaba mashambuliz ya kushtukiza( counter attack).inatakiwa kampen mahususi kuelimisha wake zenu
bandamo said: Baki3 katekeleza wajibu wake yupo hapo kusaidia kazi za ndani kuhakikisha familiar haipungukiwi yeye anaziba sioni kosa lake kosa la mke ni kushindwa kutambua majukumu ya beki 3 aelimishwe kuwa hilo ni mojawapo anapokuwa safari Click to expand... Foward ikipanda beki tatu haichezi mbali na 18 inakaba mashambuliz ya kushtukiza( counter attack).inatakiwa kampen mahususi kuelimisha wake zenu