Habari JF,
Nina safari ya kwenda dodoma Jumatatu, leo nikasema niweke ticket in advance kupitia mfumo wa Shabiby wa ukataji ticket, kiukweli kama mdau wa maswala ya technolojia, huu mfumo umekaa vizuri.
Tuwapongeze developers na kampuni nzima ya Shabiby kwa kufanikisha kutengeneza huu mfumo. Mfumo umekaa vizuri sana, user friendly, mobile responsive na kazi unafanya, mara ya kwanza nliona kama propaganda na sikutaka kabisa kuutumia ila leo nimeamini kweli ni mfumo unafanya kazi, nafikiri hasa kwa watumishi wa serikali walio na safari za kila unawasaidia sana
Kuna baadhi ya vitu kidogo, wakati wakiendelea kuufanyia maboresho ningependa kuona vinakuwepo huko mbeleni
Hongeren Shabiby !
Shabiby Online Bus Booking

Nina safari ya kwenda dodoma Jumatatu, leo nikasema niweke ticket in advance kupitia mfumo wa Shabiby wa ukataji ticket, kiukweli kama mdau wa maswala ya technolojia, huu mfumo umekaa vizuri.
Tuwapongeze developers na kampuni nzima ya Shabiby kwa kufanikisha kutengeneza huu mfumo. Mfumo umekaa vizuri sana, user friendly, mobile responsive na kazi unafanya, mara ya kwanza nliona kama propaganda na sikutaka kabisa kuutumia ila leo nimeamini kweli ni mfumo unafanya kazi, nafikiri hasa kwa watumishi wa serikali walio na safari za kila unawasaidia sana
Kuna baadhi ya vitu kidogo, wakati wakiendelea kuufanyia maboresho ningependa kuona vinakuwepo huko mbeleni
- Uwezo wa mteja kupilia kwa zaid ya mtandao mmoja, kwa sasa ni mpaka uwe na line ya TIGO tu
- Uwezo wa mteja kukata booking zaid ya siti moja kwa wakati mmoja
- Uwezekano wa abiria kuwa na account yake mwenyewe, nafikiri kwa wale wasafiri wa kila siku itawasaidia kutokuwa wanarudia rudia information kila wanapokuwa wanafanya booking
- Kama ikiwezekana kutengeza mobile application, lakini makampuni yaongezeke, Shabiby wanaweza kufanya kazi kama agents wa makampuni mengine ndani ya mfumo wao
Hongeren Shabiby !
Shabiby Online Bus Booking
