Nimetenga elfu kumi na mbili (12,000/=) ya sikukuu

Nimetenga elfu kumi na mbili (12,000/=) ya sikukuu

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Kwa uchumi wa kati huu wa Magufuli.

Bila kupoteza muda nimeamua kubudget pesa ya sikukuu mapema kabla shetani hajaingilia kati kupitia kichwa cha chini.

Pesa ni elfu kumi na mbili tu, haiongezeki wala kupungua, mchele kilo mbili (3,000/=)
Nyama nusu 4,000/=,naunga mwenyewe Pilau na wali mweupe, viungo 3,000/=,hapa itabid ninywe na juice 1000/= then hela ya vocha (1000/=)kushinda JF mpira hautakuwepo aisee.

Nitashinda hom tu, naangalia movie ,huku naingia JF kupeluzi,

Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.

Christmas namaliza namna hio.
 
Kwa uchumi wa kati huu wa Magufuli.

Bila kupoteza muda nimeamua kubudget pesa ya sikukuu mapema kabla shetani hajaingilia kati kupitia kichwa cha chini.

Pesa ni elfu kumi na mbili tu, haiongezeki wala kupungua, mchele kilo mbili (3,000/=)
Nyama nusu 4,000/=,naunga mwenyewe Pilau na wali mweupe, viungo 3,000/=,hapa itabid ninywe na juice 1000/= then hela ya vocha (1000/=)kushinda JF mpira hautakuwepo aisee.

Nitashinda hom tu, naangalia movie ,huku naingia JF kupeluzi,

Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.

Christmas namaliza namna hio.
Achana na masherehe haya ya kubuniwa na walimwengu. ishi maisha yako mkuu.
BTW kabajeti kamekaa poa. huku kwetu hiyo 3,000 ya mchele unapata kilo 3 na chenji inabaki
 
Kwa uchumi wa kati huu wa Magufuli.

Bila kupoteza muda nimeamua kubudget pesa ya sikukuu mapema kabla shetani hajaingilia kati kupitia kichwa cha chini.

Pesa ni elfu kumi na mbili tu, haiongezeki wala kupungua, mchele kilo mbili (3,000/=)
Nyama nusu 4,000/=,naunga mwenyewe Pilau na wali mweupe, viungo 3,000/=,hapa itabid ninywe na juice 1000/= then hela ya vocha (1000/=)kushinda JF mpira hautakuwepo aisee.

Nitashinda hom tu, naangalia movie ,huku naingia JF kupeluzi,

Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.

Christmas namaliza namna hio.
Ukipata hela je ? Kabla ya sikukuu, yaani kesho itakuwaje ?

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Jinsi ya kutumia elfu kumi na mbili (12,000 /=) kwenye Christmas

Pesa ni elfu kumi na mbili tu (12,000/=), haiongezeki wala kupungua,
mchele kilo mbili = (3,000/=)
Nyama nusu = 4,000/=,
Unaunga mwenyewe Pilau na wali mweupe hapo,
Viungo = 3,000/=,
Juice = 1000/=
Hela ya vocha = (1000/=) kuchati na ndugu na jamaa.

Usipende anasa, hazitakupeleka popote.
Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.
 
Jinsi ya kutumia elfu kumi na mbili (12,000 /=) kwenye Christmas

Pesa ni elfu kumi na mbili tu (12,000/=), haiongezeki wala kupungua,
mchele kilo mbili = (3,000/=)
Nyama nusu = 4,000/=,
Unaunga mwenyewe Pilau na wali mweupe hapo,
Viungo = 3,000/=,
Juice = 1000/=
Hela ya vocha = (1000/=) kuchati na ndugu na jamaa.

Usipende anasa, hazitakupeleka popote.
Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.
We umepigia bajeti ya familia.
kwa sisi bachelor sasa.
Mchana Ugali mkubwa na nyama rost sh 3000.
Vocha sh 1000.
K-vant ndogo 4000
safari kubwa 2000(ya ku mix)
imebaki sh 2000 hapo usiku ni chips kavu 1500 na kandoro ya 500.

Unaingia zako kulala upo vizuri kabisa na ume enjoy
 
Kwahyo hakuna mafuta.hakunaa kachumbari...sasa huo si wali wa kawaida tu

Umechemka..anza tena
 
Jinsi ya kutumia elfu kumi na mbili (12,000 /=) kwenye Christmas

Pesa ni elfu kumi na mbili tu (12,000/=), haiongezeki wala kupungua,
mchele kilo mbili = (3,000/=)
Nyama nusu = 4,000/=,
Unaunga mwenyewe Pilau na wali mweupe hapo,
Viungo = 3,000/=,
Juice = 1000/=
Hela ya vocha = (1000/=) kuchati na ndugu na jamaa.

Usipende anasa, hazitakupeleka popote.
Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.
Mchele kilo mbili na juice ya buku, mbona uwiano haufanani???

Kama ni mtu mmoja wa juice ya buku, mchele kilo mbili wa nn[emoji28]
Au kama kuna bajeti ya ugeni so wao juice hawapati??

Kama ni familia juice ya buku kivipi maana sukari na mazaga ya juice ni kwere-kweche
 
We umepigia bajeti ya familia.
kwa sisi bachelor sasa.
Ugali mkubwa na nyama rost sh 3000.
Vocha sh 1000.
K-vant ndogo 4000
safari kubwa 2000(ya ku mix)
imebaki sh 2000 hapo ni chips kavu 1500 na kandoro ya 500.

Unaingia zako kulala upo vizuri kabisa na ume enjoy
Hii bajeti inatekelezeka saaafi kabisa
 
Bajet ya 5,500 inatosha kabisa na chenji inabak
 
Jinsi ya kutumia elfu kumi na mbili (12,000 /=) kwenye Christmas

Pesa ni elfu kumi na mbili tu (12,000/=), haiongezeki wala kupungua,
mchele kilo mbili = (3,000/=)
Nyama nusu = 4,000/=,
Unaunga mwenyewe Pilau na wali mweupe hapo,
Viungo = 3,000/=,
Juice = 1000/=
Hela ya vocha = (1000/=) kuchati na ndugu na jamaa.

Usipende anasa, hazitakupeleka popote.
Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.
Hapo toa hela ya vocha kwa ajili ya kununua mafuta ya kupikia.
Harafu hapo haujui asubuhi kifungua kinywa ni nini
 
Back
Top Bottom