Unataka wateseke kwa sherehe ya siku ngapi?
Gesi si ipo.... Kuni au mkaa vya nn??? Kama sio kuharibu envSijaona bajeti ya mkaa
Kesho itajisumbukia yenyewe tuu[emoji23]Hapo toa hela ya vocha kwa ajili ya kununua mafuta ya kupikia.
Harafu hapo haujui asubuhi kifungua kinywa ni nini
Achana na masherehe haya ya kubuniwa na walimwengu. ishi maisha yako mkuu.
BTW kabajeti kamekaa poa. huku kwetu hiyo 3,000 ya mchele unapata kilo 3 na chenji inabaki
Ni wapi kwenu mkuuAchana na masherehe haya ya kubuniwa na walimwengu. ishi maisha yako mkuu.
BTW kabajeti kamekaa poa. huku kwetu hiyo 3,000 ya mchele unapata kilo 3 na chenji inabaki
kuna pengine zaidi ya chato?Kwenu ni wapi?
Mie budget yangu ya siku hiyo ni;Jinsi ya kutumia elfu kumi na mbili (12,000 /=) kwenye Christmas
Pesa ni elfu kumi na mbili tu (12,000/=), haiongezeki wala kupungua,
mchele kilo mbili = (3,000/=)
Nyama nusu = 4,000/=,
Unaunga mwenyewe Pilau na wali mweupe hapo,
Viungo = 3,000/=,
Juice = 1000/=
Hela ya vocha = (1000/=) kuchati na ndugu na jamaa.
Usipende anasa, hazitakupeleka popote.
Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.
Mkuu kweli hali ni mbaya tupeane uzoefu hapa nami nataka nitengeneze bajeti yangu.Jinsi ya kutumia elfu kumi na mbili (12,000 /=) kwenye Christmas
Pesa ni elfu kumi na mbili tu (12,000/=), haiongezeki wala kupungua,
mchele kilo mbili = (3,000/=)
Nyama nusu = 4,000/=,
Unaunga mwenyewe Pilau na wali mweupe hapo,
Viungo = 3,000/=,
Juice = 1000/=
Hela ya vocha = (1000/=) kuchati na ndugu na jamaa.
Usipende anasa, hazitakupeleka popote.
Anasa zitakupeleka wapi ndugu yangu, kaa nyumban tulia.
Gesi si ipo.... Kuni au mkaa vya nn??? Kama sio kuharibu env
Hivi vijana wenu wanaobalehe huko Chato wameacha kufila ng'ombe siku hizi?kuna pengine zaidi ya chato?
[emoji3][emoji3]sio kweliHivi vijana wenu wanaobalehe huko Chato wameacha kufila ng'ombe siku hizi?
Watu wanne wanamaliza pilau kilo moja mkuuMkuu kweli hali ni mbaya tupeane uzoefu hapa nami nataka nitengeneze bajeti yangu.
ki wastani kilo moja ya mchele wanamaliza watu wa ngapi?
Pia kilo moja ya nyama inatosha watu wa ngapi?
[emoji3][emoji3]karibu pilau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila la kher
Hii budget kwa mtanzania wa kawaida haiwezi Mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mie budget yangu ya siku hiyo ni;
1.Chakula mimi na demu wangu 12,000
2.Nauli ya boda 10,000
3. Vinywaji 63,000
4. Lodge 30,000
5. Vumbi la Congo 15,000
6. Bange 2000
7.vocha na yakutolea 20, 000
8. Kuhonga 30,000
9. Kuwalipa walinzi wawili wa muda 50,000(maana ntakuwa na mke wa mtu hivyo ni lazima niweke tahadhali ikitokea fumanizi
10. Emergency 200,000
Kweli mkuu, lakin wacha tuenjoy hii sikuku namna hio [emoji16]Achana na masherehe haya ya kubuniwa na walimwengu. ishi maisha yako mkuu.
BTW kabajeti kamekaa poa. huku kwetu hiyo 3,000 ya mchele unapata kilo 3 na chenji inabaki
Amekwambia ataenda kununua glass 1 ya juice kwa shs 1000Hiyo juice unatengeza.. Na nini !?
Kilo 1 ya mchele wanakula watu wanne, nyama inatakiwa iwe nyingi, Nusu kilo watagombea finyango, sijui mtoa mada yuko na nani !!Mkuu kweli hali ni mbaya tupeane uzoefu hapa nami nataka nitengeneze bajeti yangu.
ki wastani kilo moja ya mchele wanamaliza watu wa ngapi?
Pia kilo moja ya nyama inatosha watu wa ngapi?