Magoli ni pasua kichwa ... Corner ni safe saana mkuu. Nimeshabet corner mara 9 mfululizo nimekula mara 7 nimeliwa mara 2. Mechi ya Man city alishatoaga corner 10 first half pekee afu mimi nlitaka corner 4 tu.. Asee!
Can you imagine?
Parimatch wana option ya corner 4.5 first half.. Hii inatoa sana kwa timu kama Liverpool, Man city, Tottenham, ac Milan e.t.c zimenipa hela saana hizi timu msimu huu.Kona hua unabetije mkuu
Timu moja kuvusha hizo konda fist half?Parimatch wana option ya corner 4.5 first half.. Hii inatoa sana kwa timu kama Liverpool, Man city, Tottenham, ac Milan e.t.c zimenipa hela saana hizi timu msimu huu.
Timu zote mbili zifikishe jumla ya kona 4.5 first half.Timu moja kuvusha hizo konda fist half?
Hawa parimatch wapo bongo hapa, na wanatumia currency gani na una toa hela kwa stail ganUmesema Kweli tupu! Parimatch kunabjamaa yangu alibetia mechi kwa milion 7 single bet.
Unatoa hela kwa mpesa au tigo pesa...Wapo fresh jana nimewapiga leo nikavuta mpunga wangu!! wapo bongoHawa parimatch wapo bongo hapa, na wanatumia currency gani na una toa hela kwa stail gan
Wako bongo hapa hapa maeneo ya Morocco pale. Currency yao ni shillings.. Unatoa kwa Tigo na voda haraka saana.Hawa parimatch wapo bongo hapa, na wanatumia currency gani na una toa hela kwa stail gan
Stake unaweka yoyote ila maximum winning ni mil 15 per single ticketKwa Parimatch maximum stake ni shilingi ngapi?
Asante mkuu!Stake unaweka yoyote ila maximum winning ni mil 15 per single ticket
Hii safi,inabidi nijifunzeStake unaweka yoyote ila maximum winning ni mil 15 per single ticket
Tafuta Parimatch Tanzania.. Makao Mkuu yao yako Ukraine labda umeaccess site yao ya Ukraine.ntawachek asee,, mana nimechek site yao nkaona wameweka kwa kirusi hadi nka translate
NA mi ngoja niwacheki hawa parimatch...wanaonekana wako poaTafuta Parimatch Tanzania.. Makao Mkuu yao yako Ukraine labda umeaccess site yao ya Ukraine.
dah mpaka nimesisimuka[emoji3][emoji3][emoji3]umeona stake za jamaa lakini!!!!
aiseee ivi kuna watu wana jua betting ni
win draw win yaani matokeo matatu3??
mambo yako tofaut nowdays wazee options ziko kibao za kupiga pesa
corners
shots on targets
ball hits crossbar
added time Ht/Ft
total goals
goals Ht/ft over/under
10 min draw
etc etc etc....
nashangaa mtu unapo leta mfano mmoja wa mlinganisho wa odds according to bookers tena kwa option ya 3 ways
Wanafanya payment kwa bank tuHivi kuna mtu huku kwa sasa anayetumia 1xbet, kama ni ndiyo naombeni msaada wa jinsi ya kudepositt na kuwithdraw kwa kutumia mitandao yetu ya simu nikimaanisha M pesa, Airtel Money na Tigo pesa