Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Kona hua unabetije mkuu
Magoli ni pasua kichwa ... Corner ni safe saana mkuu. Nimeshabet corner mara 9 mfululizo nimekula mara 7 nimeliwa mara 2. Mechi ya Man city alishatoaga corner 10 first half pekee afu mimi nlitaka corner 4 tu.. Asee!

Can you imagine?
 
Mkuu naona uko powa jaribu kutupia tips hapa inawwza saidia wengi nikiwemo mimi
 
ntawachek asee,, mana nimechek site yao nkaona wameweka kwa kirusi hadi nka translate
 
Kwa hesabu za jamaa zilivyo yofauti na 3 way hamna options nyingine inayoweza kukuletea hiyo faida
Mkuu soma kwa makini na uelewe
 
Hivi kuna mtu huku kwa sasa anayetumia 1xbet, kama ni ndiyo naombeni msaada wa jinsi ya kudepositt na kuwithdraw kwa kutumia mitandao yetu ya simu nikimaanisha M pesa, Airtel Money na Tigo pesa
 
Hivi kuna mtu huku kwa sasa anayetumia 1xbet, kama ni ndiyo naombeni msaada wa jinsi ya kudepositt na kuwithdraw kwa kutumia mitandao yetu ya simu nikimaanisha M pesa, Airtel Money na Tigo pesa
Wanafanya payment kwa bank tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…