Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Baada ya baba yangu kutoweka duniani nimekataliwa kuwa sio mmoja wa familia.Nimekulia kijijini baba yangu alikuwa anaishi mjini.
Kutokana na kutokunitambulisha kwa ndugu na kuwatambulisha dada zangu pamoja na kaka zangu, baba wadogo na shangazi wanadai mbona wao hawakutambuliswa!
Kwa msaada wenu mnafikiri nini nifanye ili nami nipate haki yangu?