Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Baada ya baba yangu kutoweka duninia nimekataliwa kuwa sio mmoja wa familia
nimekulia kijijini baba yangu alikuwa anaishi mjini ,kutokana na kuto kunitambulisha kwa ndugu na kuwatambulisha dada zangu pamoja na kaka zangu, baba wadogo na zangazi wadai mbona wao hawakutambuliswa!
Kwa msaada wenu mnafikiri nini nifanye ili nami nipate haki yangu?
Hao ndugu zako ni baba na mama mmoja au baba mmoja mama tofauti?
Hao ndugu zako ni baba na mama mmoja au baba mmoja mama tofauti?
Wamekukataa kwa vigezo gani? Kutotambulishwa si kosa lako. Wanapaswa kukutambua sasa. je una kitu chochote kinachothibitisha wewe ni mtoto wa marehemu? kama picha, vyeti, watu wa kwenu n.k. Nia yako hasa ni nini? Urithi au kutambuliwa tu. Tafuta vithibitisho.
Lukas4 sidhani kama issue ya mtarajiwa wako kukutaka umpeleke kwa baba ni issue nzito ki hivyo otherwise kama unataka kupata share katika mali alizo acha mzee...huyo mwanamke mwambie ukweli kuhusu hali ya wewe na nduguzo basi!sidhani kama atalazimisha kwenda sehemu ambayo wewe hutambuliki...
Kama mama yu hai, anaweza kuwa msaada mkubwa kukupatia vithibitisho.Pia uwezekano ni mkubwa akawa anafahamiana na baadhi ya ndugu wa baba
vithibitisho vipo kama picha za utotoni ambazo nilipiga naye, furthermore baada ya kumaliza kidato cha nne baba yangu alikuja kunichukua na kunipeleka kwake kwa mama mkubwa na kumtambulisha pamoja pamoja na watoto zake. Pingamizi kubwa ni kwa baba mdogo na shangazi zangu, inafika mwaafaka ninakosa hadi amani kwamba mimi ninani kakika jamii!
vithibitisho vipo kama picha za utotoni ambazo nilipiga naye, furthermore baada ya kumaliza kidato cha nne baba yangu alikuja kunichukua na kunipeleka kwake kwa mama mkubwa na kumtambulisha pamoja pamoja na watoto zake. Pingamizi kubwa ni kwa baba mdogo na shangazi zangu, inafika mwaafaka ninakosa hadi amani kwamba mimi ninani kakika jamii!
Pambana mkuu uhakikishe haki yako imepatikana. Hao wanao kuambia achana uachane na familia yako ambayo kimsingi ni muhimu kuijua
Hata kama haitakusaidia kitu.
KomAa nao kisheria.
Kuna mali mnayopigania?