Uchaguzi 2020 Nimetia nia kesho nitamkuchulia fomu ya kugombea Urais Zanzibar, Sheikh Mselem kupitia CHADEMA

Mwenyezi Mungu na waungwana, shetani na wahuni.

Akubariki yeye aliye juu ya vyote! Una support yetu wapenda haki wote wa Tanzania
 
Bora na masheikh nao wagombee pia
Kwani huyo Maalim yuko wapi asije chukua form mwenyewe??
Na ufanye hima maana muda uliowekwa unaelekea ukingoni!!
Kama yuko tayari sio shida ukiwa wakala wake kumchukulia, Kila la heri ndg yangu!!
 
Stay Tune,

Tayari tumekutana na viongozi wa jamii.

Uzuri wa awamu hii tunaambiwa na viongozi wetu tumtamgulize Mungu.

Hivyo Usiku wa Leo kutakuwa na dua ya kutaka Ushauri Mungu wetu.

Vikao rasmi vitaendelea kesho tukijaaliwa
Shukran lake... Allah akulipe kheri inshaAllah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…