Mapema sana aisee mimi nilihama nilipotimiza 40
Unamaanisha nilikuwa bado binti nilipohama home?Lol -- bado bint kabisa wewe. ... Menopause hata haikujui
Shida yangu mimi Ni moja tu nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha Sana lakini nikiwa na mtu mwingine yeyote basi sitakiwi kuwa nae zaidi ya masaa 8 lasivyo napoteza mood ,nikipoteza mood dawa yake lazima niwe mwenyewe kwa kipindi flani hivi.Kwani haujachoka kulala mwenyewe?
Una maanisha anamkula abakishi kituKwa nini no?!
Mbona unakuwa unaweza kumkula mtu?! Muone kwanza
Kama ulikuwa kichwani mwangu.Arobaini bado mapema. Afanye 45 maana ujana ndiyo huwa unaishia hapo.
NdiwoooUna maanisha anamkula abakishi kitu
Ndio umri nilio funga ndoa.Nlivokuwa nna miaka 18 nlikuwa najisemea nikifika miaka 25 nianze kujitegemea,, baada ya kufika 25 nikasema nikifika 31 ndo naweza kuoa,, now niko 32
HahahahahDhambi sio zinaa peke yake tunatenda dhambi nyingi Sana ukiacha zinaa.
Ke haina shidaMapema sana aisee mimi nilihama nilipotimiza 40
Fikiria aiseeeh50. Ndo ntafikiria
Asante mkuu kwa ushauriNi vyema pata ushauri wazazi, wajomba, shangazi au kwa mzee yeyote, wakupe ushauri wa kukueleza binti yupi anafaa umuoe pia hata wewe mwenyewe kama kuna binti umempenda, basi usisite kuwaeleza hao niliokutajia, epuka ushauri wa marafiki, usikurupuke, la mwisho usisahau kwenda kupima afya zenu kwa pamoja, MAAMBUKIZO YA UGONJWA WA HOMA YA INI, NA UKIMWI
Fanya maamuzShida yangu mimi Ni moja tu nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha Sana lakini nikiwa na mtu mwingine yeyote basi sitakiwi kuwa nae zaidi ya masaa 8 lasivyo napoteza mood ,nikipoteza mood dawa yake lazima niwe mwenyewe kwa kipindi flani hivi.
Shida nyingine Ni first priority kwenye maisha yangu Ni furaha na siwezi kuhandle stress za watu yaani ukinijia umenuna au huna furaha mbele yangu binafsi sitaki hata kuiona sura yako, nakaa mbali kabisa na kwa uzoefu wangu wanawake Ni watu wa mood swings sasa imagine mtu anaeyependa furaha akutane na mtu mwenye mastress yake nyumba moja yaan naweza hata kukuachia nyumba niende huko mbali ili mradi tu niwe na furaha. La mwisho sipendi drama tena sipendi kweli kweli.
Hofu yangu sio kuoa hofu yangu Ni nioe mtu halafu awe source ya stress, nioe mtu asiye na furaha kwahiyo MDA wote yupo busy kunikera [emoji846][emoji846][emoji846]
Upime kabisa29 years old, no child, no wife, only girlfriend... 2011 nlipiga mimba mwanafunzi ikabd niifinye, 2013 nkapiga mimba mwanamke nisiemuelewa nkaifinya kwa miso, 2016 nkapiga mimba barmaid nkaifinya, 2019 nkapiga mimba my girlfriend akapata spontaneous abortion anyway sijawahi juta na mwakani lazima nioe.
Nime Note kitu hapaNdio umri nilio funga ndoa.
Na sikujuta.
Zamani miaka 32 ni mtu na familia ya watoto watatuBado, subiri ufike 45 maana ndio mnaanza kukua siku hizi.
Mkuu rudisha interview [emoji41]Una maanisha anamkula abakishi kitu
Nataka niweke kitu ndani hahahaSi ndio mkuu, wee kula ujana bana kuoa kupo tuu..
Siku hizi naskia kuna mrembo mmoja amemshika, hana kauliMkuu rudisha interview [emoji41]