Nimetimiza mwaka 1 JF

goldie ink

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
5,634
Reaction score
9,149
Wana harakati wa JF naamini mko poa na hii wikiendi.

Leo ni mwaka sasa nimetimiza tangu niingie rasmi katika mtandao huu,

Mwanzo nilianza kufahamu huu mtandao mwaka 2012 lakini nikawa bado sijahamasika kuingia lakini nikawa nipo karibu na mitandao mingine hatimaye mwaka Jana 06 | oktoba | 17 nikajiunga rasmi na kuwa mwanachama halisi wa mtandao huu bora Tanzania,

Jamii forums pamoja na uongozi wake mzima nashukuru sana kuweza kushirikiana, kuwahamashisha, na kuwaleta watu pamoja ili kujifunza mambo mengi zaidi kupitia huu mtandao bora kabisa.

Bado nitaendelea kuwa nanyi kwa pamoja katika mtandao huu.

πŸ™‚ πŸ˜‰
 
Mimi nimetimiza miaka 7 leo hii baada ya kukaa miaka 3 bila kujiunga rasmi tangu nilipoujua Mtandao huu. Hongera kwa kutimiza mwaka mmoja, hongera kwangu kutimiza miaka hiyo saa saba.

Hapa ndio home kwetu bhana. Tuendelee kuwepo. Hebu Mcheki Max akupe namba ya kuchangia huduma hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…