Nimetimiza mwaka mmoja na miezi kadhaa mbali na JamiiForums na nimeamua kurudi

Nimetimiza mwaka mmoja na miezi kadhaa mbali na JamiiForums na nimeamua kurudi

Nelly

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
3,338
Reaction score
6,327
Hello great thinkers

Niliamua kujipa likizo isiyo na malipo kutotumia mtandao wowote wa kijamii na haya ni baadhi ya mambo niliyogundua kwa upande wangu

1. Urafiki unaotengenezwa kwenye mitandao ya kijamii umekuwa wa manufaa na faida nyingi katika kada zote za kimaisha tofauti na marafiki ambao tunakuwa nao physically.

2. Mitandao ya kijamii ina influence kubwa kwenye maisha ya binadamu nowdays. Kuna muda nilikuwa nashika simu natamani ku install app kwa sababu ya "arosto" ila ntajikaza sana na kwa hili watumiaji wengi wa JF wanapokuwa mbali na forum nahisi huwa wanapata hii feeling.

3. JamiiForums ni miongoni mwa mitandao michache Tanzania ambayo ukitumia kwa kusudio la kuanzishwa kwake basi ina faida kubwa kwenye mfumo wa kila siku wa maisha. Kipindi ambacho "nilijitenga" mbali na mitandao ya kijamii vitu vingi ambavyo nilivipata nikiwa humu vilikuwa msaada mkubwa kwenye mambo mbali mbali niliyokuwa/ninayofanya sasa na hii ni kwa baadhi yetu ambao tumekuwa Tukitumia jamii forum kama sehemu ya kupata maarifa pamoja na ujuzi mbali mbali wa maisha.

NATAMBUA MCHANGO WA KILA MEMBER NA PAMOJA NASEMA ASANTE KWENU NYOTE

NIMERUDI TENA

RememberTheName-Nelly
 
Hello great thinkers

Niliamua kujipa likizo isiyo na malipo kutotumia mtandao wowote wa kijamii na haya ni baadhi ya mambo niliyogundua kwa upande wangu

1. Urafiki unaotengenezwa kwenye mitandao ya kijamii umekuwa wa manufaa na faida nyingi katika kada zote za kimaisha tofauti na marafiki ambao tunakuwa nao physically.

2. Mitandao ya kijamii ina influence kubwa kwenye maisha ya binadamu nowdays. Kuna muda nilikuwa nashika simu natamani ku install app kwa sababu ya "arosto" ila ntajikaza sana na kwa hili watumiaji wengi wa JF wanapokuwa mbali na forum nahisi huwa wanapata hii feeling.

3. JamiiForums ni miongoni mwa mitandao michache Tanzania ambayo ukitumia kwa kusudio la kuanzishwa kwake basi ina faida kubwa kwenye mfumo wa kila siku wa maisha. Kipindi ambacho "nilijitenga" mbali na mitandao ya kijamii vitu vingi ambavyo nilivipata nikiwa humu vilikuwa msaada mkubwa kwenye mambo mbali mbali niliyokuwa/ninayofanya sasa na hii ni kwa baadhi yetu ambao tumekuwa Tukitumia jamii forum kama sehemu ya kupata maarifa pamoja na ujuzi mbali mbali wa maisha.

NATAMBUA MCHANGO WA KILA MEMBER NA PAMOJA NASEMA ASANTE KWENU NYOTE

NIMERUDI TENA

RememberTheName-Nelly
Aisee karibu japo kuna mengi sana ya kustaabisha huenda hukuyajua kipindi upo likizo. Eti yule memba wa kuitwa YUNIKI FLAWA kumbe sio pisi, eti ni dume. Kuna mengi sana utajuzwa, kaa tu hapo jamvini kwanza
 
Aisee karibu japo kuna mengi sana ya kustaabisha huenda hukuyajua kipindi upo likizo. Eti yule memba wa kuitwa YUNIKI FLAWA kumbe sio pisi, eti ni dume. Kuna mengi sana utajuzwa, kaa tu hapo jamvini kwanza
Na hiki ndo nilisahau kuuliza 😂😂😂😂
 
Na hiki ndo nilisahau kuuliza 😂😂😂😂
Yapo mengi kaka, JF inapoteza ule uhalisia wake kuwa home of great thinkers.. kuna mada za hovyo sana we peruzi tu utaniambia
 
Hongera sana mwaka moja bila kuingia online sio jambo dogo!

Anyway kipindi ulipoondoka kuna wageni tumekuja, tunaendelea ulipoishia
 
Yapo mengi kaka, JF inapoteza ule uhalisia wake kuwa home of great thinkers.. kuna mada za hovyo sana we peruzi tu utaniambia
Nitarudi kuleta mrejesho ila niliacha balaa la mwamba aliepigwa BATA BUKINI 😂😂 nimerudi pah uzi wa rikiboy unanipokea sina hata 30 minutes
 
Aisee karibu japo kuna mengi sana ya kustaabisha huenda hukuyajua kipindi upo likizo. Eti yule memba wa kuitwa YUNIKI FLAWA kumbe sio pisi, eti ni dume. Kuna mengi sana utajuzwa, kaa tu hapo jamvini kwanza
🧐🧐🧐🧐Ntakua wa mwisho kuamini
 
Hello great thinkers

Niliamua kujipa likizo isiyo na malipo kutotumia mtandao wowote wa kijamii na haya ni baadhi ya mambo niliyogundua kwa upande wangu

1. Urafiki unaotengenezwa kwenye mitandao ya kijamii umekuwa wa manufaa na faida nyingi katika kada zote za kimaisha tofauti na marafiki ambao tunakuwa nao physically.

2. Mitandao ya kijamii ina influence kubwa kwenye maisha ya binadamu nowdays. Kuna muda nilikuwa nashika simu natamani ku install app kwa sababu ya "arosto" ila ntajikaza sana na kwa hili watumiaji wengi wa JF wanapokuwa mbali na forum nahisi huwa wanapata hii feeling.

3. JamiiForums ni miongoni mwa mitandao michache Tanzania ambayo ukitumia kwa kusudio la kuanzishwa kwake basi ina faida kubwa kwenye mfumo wa kila siku wa maisha. Kipindi ambacho "nilijitenga" mbali na mitandao ya kijamii vitu vingi ambavyo nilivipata nikiwa humu vilikuwa msaada mkubwa kwenye mambo mbali mbali niliyokuwa/ninayofanya sasa na hii ni kwa baadhi yetu ambao tumekuwa Tukitumia jamii forum kama sehemu ya kupata maarifa pamoja na ujuzi mbali mbali wa maisha.

NATAMBUA MCHANGO WA KILA MEMBER NA PAMOJA NASEMA ASANTE KWENU NYOTE

NIMERUDI TENA

RememberTheName-Nelly
Nowadays hamna kitu humu, ni porojo za johnthebaptist
 
Aisee karibu japo kuna mengi sana ya kustaabisha huenda hukuyajua kipindi upo likizo. Eti yule memba wa kuitwa YUNIKI FLAWA kumbe sio pisi, eti ni dume. Kuna mengi sana utajuzwa, kaa tu hapo jamvini kwanza

Anawezaje ku act muda wotee!? Inashangaza au atakuwa side B?
 
Back
Top Bottom