Nimetimiza Post 2000..Je naihitaji kubadilika?

Nimetimiza Post 2000..Je naihitaji kubadilika?

Gembe

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2007
Posts
2,483
Reaction score
164
Heshima Mbele,

Ni post yangu ya 2000 hapa Jamvini,furaha yangu kuu siyo kutimiza post 2000 ila ni mie kutumia muda wangu kuandika na kuchochea maendeleo ya nchi yangu Tanzania.

Nimekuwa hapa toka sept 2007 ila nimeanza kusoma hapa jamvini toka linaanza na sikuweza kuchangia mwanzoni kwa kuwa nilihisi kuwa hata usemeje serikali yetu haitasikiliza..Ila sas hivi we make the News na siye ndiyo tuliwap Mdomo Mwanahalisi na magazeti yote ambayo hayakuwa na ubavu.

Toka nimeingia hapa na kukutana na watu kama kada Mpinzani(sijui yuko wapi),FMES,Kichuguu,Mwafrika wa kike,Mzee Mwanakijiji,Mpaka kieleweke,Kitila na invisible nimeweza kufarijika sana na imenijengea uwezo mkubwa kiupeo hasa kwenye siasa.

Invisible umekuwa Msaada Mkubwa sana hapa Jamvini,nilifurahishwa sana na jitihada zako za wakti ule ukiwapo ogomvi na kina Mushi.Uliweza kusimama kidete

JF imekuwa ni sehemu ambayo siwezi kuacha kupita,Pamekuwa sehemu pangu pa kuelezea mawazo yangu kuhusu serikali.Nimeweza kusaidia kubadilisha mambo mengi na kuwafikishia baadhi ya mawziri na viongozi wa serikali mambo muhimu
katika nchi ambayo yamekuwa yakichangiwa humu.


Tukiendelea kukata ishu naendelea kuwapa moyo wa kufichua makubwa zaidi ya yale ya Buzwagi,ATCL,RDC.
Nimewez akuchangia thread 729 ambzo zilianzishwa na watu mbali mbali

Jamboforums/Jamiiforums
imenipa Moyo sana kwa kulitumikia Taifa langu Tanzania kwa uwazi.

VIVA JAMIIFORUMS
 
I have been in different forums kuanzia Nyenzi.com (kama kuna mtu anakumbuka nyenzi them days) youngafrican sijui tanzanite and now jamii former jambo forums nimeona watu wakiwa wanakosoa sana viongozi na nchi yao na kupiga debe sana...well kuna baadhi ya hao watu waliokuwa wanaendeleza libeneke hilo wapo sasa hivi hukohuko serikalini tena jikoni lakini sioni cha maana wanachofanya...ila walivyokuwa kwenye hizi forums makelele yalikuwa mengi sanaaaa kiasi cha kutupa moyo siye wengine anti-politics..welll so whats the deal of piga tarumbeta hapa then ukipewa huo wadhifa unashindwa kufanya hizo changes...
ooh yes we can but when you got the opportunity...it tuns to be ooh no we cant...do you really mean it mkiwa mna debate humu au you all seeking for power?.

Oops and hongera kwa kutimiza post 2000..Psalm 24 inasema Lift up your head all all gates and be lifted up,you everlasting doors and the king of glory shall come in...."so keep your head up
 
Last edited:
Congrats for mabandiko yako. Just keep it up the way you are, that is the original you. If you change, you will not be the Gembe we know, you will someone else unless what we have seen here is not the best of Gembe, then you can change for the better untill you reach the best of you.
Big Up!.
 
Hongera mkuu kwa mabandiko lukuki. Kwani hujabadilika tu?
 
Hongera sana kwa 2000 posts Gembe!

Angalau na mimi nazidi kupata uelewa wa kisiasa nchini kwenye mambo mengine ambayo siyajui kupitia JF.

Bel!
 
Heshima Mbele,

Ni post yangu ya 2000 hapa Jamvini,furaha yangu kuu siyo kutimiza post 2000 ila ni mie kutumia muda wangu kuandika na kuchochea maendeleo ya nchi yangu Tanzania.


Hapa umenena mkuu, manake unaweza kutimiza mabandiko 2000, kwa kuweka tu maneno kwenye post kama "nakubali", "sikubali", "hongera" nk. Manake hata hii hongera yangu kwako kwa kutimiza mabandiko 2000, nami inaniongezea mabandiko.

HONGERA MKUU.
 
Hapa umenena mkuu, manake unaweza kutimiza mabandiko 2000, kwa kuweka tu maneno kwenye post kama "nakubali", "sikubali", "hongera" nk. Manake hata hii hongera yangu kwako kwa kutimiza mabandiko 2000, nami inaniongezea mabandiko.

HONGERA MKUU.

...kwi kwi kwi kwi kwi....wee Mfumwa acha uchokozi....kwi kwi kwi

........Hongera sana Mkuu Gembe
 
You have said it all Gembe. Hongera mkuu!
 
Kelly01... Inshimana Dumisame anakusalimu sana....

Kamanda Gembe mwendo mdundo....
 
Kelly01... Inshimana Dumisame anakusalimu sana....

Kamanda Gembe mwendo mdundo....


hahahaha and i miss him so much...hivi yupo wapi?...he was such a funny dude i like his style for

really!


BTW...Kule nyenzi kulikuwa na mama mmoja anaitwa Mama Ntilie huyu mama alifanya kazi enzi za nyerere alikuwa so wise na nilikuwa napenda sana kusoma post zake sijui alipoteleaga wapi...Toka nyenzi ifungwe basi sijamsikiaga tena...wale watu wa nyenzi enzi hizo do you have any idea Mama Nitlie yupo pande ipi jamani eeh!?...smart lady she speaks her mind...pOWER To Women!...
 
hahahaha and i miss him so much...hivi yupo wapi?...he was such a funny dude i like his style for

really!


BTW...Kule nyenzi kulikuwa na mama mmoja anaitwa Mama Ntilie huyu mama alifanya kazi enzi za nyerere alikuwa so wise na nilikuwa napenda sana kusoma post zake sijui alipoteleaga wapi...Toka nyenzi ifungwe basi sijamsikiaga tena...wale watu wa nyenzi enzi hizo do you have any idea Mama Nitlie yupo pande ipi jamani eeh!?...smart lady she speaks her mind...pOWER To Women!...
Kheeee heeee kheeeee Eeeh!
Mama Ntilie aliaga rasmi Nyenzi, nafikili ni wakati ule Nyerere(RIP) alipolazwa kule UK...Nilikuwa napenda siku akibishana na Mdosi Mzalendo au akipambanua issue na Nkwera...

Well Dumi alibanwa na Thesis na ndio ukawa mwisho wake pale YA.... BTW Blingbling anakupa Hi!...
 
Kheeee heeee kheeeee Eeeh!
Mama Ntilie aliaga rasmi Nyenzi, nafikili ni wakati ule Nyerere(RIP) alipolazwa kule UK...Nilikuwa napenda siku akibishana na Mdosi Mzalendo au akipambanua issue na Nkwera...

Well Dumi alibanwa na Thesis na ndio ukawa mwisho wake pale YA.... BTW Blingbling anakupa Hi!...


Hahaha eeh ile ilikuwaga kasheshe mdosi akianza kumchachafya mama Ntiliye...Nasikia mdosi mzelendo alikuja kurudi bongo yule muhindi alikuwa machachari sana haha Father Nkwera where is he?..duuh those were days...

Blingbling nakutanaga naye msn tunampango wa kushuka wote bongo this summer..her bro is getting married ila sijamsikia karibu mwezi sasa..mmh mna-keep intouch na bling?impressing..haya Kibs confession!!!...

yaani Dumisane bado anafanya thesis mpaka leo?...hebu mwambie aje mwambie nimemiss sana m2wangu...LOL!
 
hahahaha and i miss him so much...hivi yupo wapi?...he was such a funny dude i like his style for

really!


BTW...Kule nyenzi kulikuwa na mama mmoja anaitwa Mama Ntilie huyu mama alifanya kazi enzi za nyerere alikuwa so wise na nilikuwa napenda sana kusoma post zake sijui alipoteleaga wapi...Toka nyenzi ifungwe basi sijamsikiaga tena...wale watu wa nyenzi enzi hizo do you have any idea Mama Nitlie yupo pande ipi jamani eeh!?...smart lady she speaks her mind...pOWER To Women!...

amepanda cheo.. siku hizi ni Bibi Ntilie na ni mwanachama mwenzako hapa..
 
Blingbling nakutanaga naye msn tunampango wa kushuka wote bongo this summer..her bro is getting married ila sijamsikia karibu mwezi sasa..mmh mna-keep intouch na bling?impressing..haya Kibs confession!!!...

yaani Dumisane bado anafanya thesis mpaka leo?...hebu mwambie aje mwambie nimemiss sana m2wangu...LOL!

Yeah... nipo in touch na Blingbling, ila Dumi nimepoteza mawasiliano nae...
 
Yeah... nipo in touch na Blingbling, ila Dumi nimepoteza mawasiliano nae...

Bling bling is my girl a while back nilikuwa najaribu hook her with my cuzin mwanakijiji but it didnt work out si unajua bling mtoto wa mjini na my cuzin ni conservative so it didnt work out....LOL!
 
Thread imeshatekwa....na hawajaingia NN na YNIM
 
Back
Top Bottom