Naikumbuka ile issue... lkn cousin wako alikuwa ajatulia, manake kuna yule dada wa Denmark or Norway naye akimfagilia kuja kwenye ile bash yako...Bling bling is my girl a while back nilikuwa najaribu hook her with my cuzin mwanakijiji but it didnt work out si unajua bling mtoto wa mjini na my cuzin ni conservative so it didnt work out....LOL!
😀 😀Thread imeshatekwa....na hawajaingia NN na YNIM
Naikumbuka ile issue... lkn cousin wako alikuwa ajatulia, manake kuna yule dada wa Denmark or Norway naye akimfagilia kuja kwenye ile bash yako...
😀 😀
Mwenye thread anakwenda likizo kwanza, hataki kuchafua 000 zake.
BTW...Kule nyenzi kulikuwa na mama mmoja anaitwa Mama Ntilie huyu mama alifanya kazi enzi za nyerere alikuwa so wise na nilikuwa napenda sana kusoma post zake sijui alipoteleaga wapi...Toka nyenzi ifungwe basi sijamsikiaga tena...wale watu wa nyenzi enzi hizo do you have any idea Mama Nitlie yupo pande ipi jamani eeh!?...smart lady she speaks her mind...pOWER To Women!...