Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Nikiwa mpenzi na sio mwanachama wa CHADEMA, Kwa kipindi hiki cha uchaguzi nimetimiza wajibu wangu kwa kuwaombea Kura Rais mtarajiwa Lissu na Madiwani watarajiwa wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa tarehe 28/10.
Kila kijiwe, nimefika. kuanzia vibanda umiza, vijiwe vya draft, bao, kona za bodaboda vilabu vya pombe za mataputapu, kwenye mabar, kwenye daladala kote huko nimepiga kampeni za kufa mtu.
Kama raia mpenda mabadiliko nimetimiza wajibu wangu kwa chama kipenzi changu CHADEMA.
Huku field nilikopita Mambo ni Moto. Labda rough tu zichezwe na tume kukibeba chama kikongwe hiki kilichokataliwana wananchi.
Nawewe timiza wajibu wako. Nendeni field na si kupiga debe nyuma ya keyboard. Muda ndio Sasa. Kila mmoja ana nafasi ya kukisaidia chama. Pamoja tutaweza.
Kila kijiwe, nimefika. kuanzia vibanda umiza, vijiwe vya draft, bao, kona za bodaboda vilabu vya pombe za mataputapu, kwenye mabar, kwenye daladala kote huko nimepiga kampeni za kufa mtu.
Kama raia mpenda mabadiliko nimetimiza wajibu wangu kwa chama kipenzi changu CHADEMA.
Huku field nilikopita Mambo ni Moto. Labda rough tu zichezwe na tume kukibeba chama kikongwe hiki kilichokataliwana wananchi.
Nawewe timiza wajibu wako. Nendeni field na si kupiga debe nyuma ya keyboard. Muda ndio Sasa. Kila mmoja ana nafasi ya kukisaidia chama. Pamoja tutaweza.