Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
jamani pole sana, mambo ya uhusiano sometimes ni magumu na yana complications nyingi. Cha msingi usikilize moyo wako wewe uamue. Iwapo utaamua kuendelea naye ipo tu siku mzee ataelewa kwani mapenzi ukihusisha na utajiri haviendi. Iwapo utaamua kutoendelea naye, mueleze ukweli kabisa bado mapema ili aumie roho lkn atazoea.
Ila napata utata kidogo hapa, hadi mmefikia hatua ya kupanga kuoana mwezi wa sita mwakani, baba alikuwa hajashirikishwa? au mmejipangia nyie wawili kwanza? Maana kama alishirikishwa na kuridhia kuwa uwe mkamwana wake, asingekugeuka.
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/
Inaelekea umelipa mahari kidogo tofauti na mlivyokubaliana, kwa hiyo unaonyesha unataka mtoto wa watu bure Kama wewe ni fukara omba upewe bure.:target:
Baba mkwe keshachukua mahari and then unataka ujiondokee??!!
Duh! umetoa mahari mapema sana,pia isijekuwa ndo kamchezo kao kuchukua mahari za watu na kuanza vi2ko!!!
Bulaza komaa, kama hawataki chukua chako mapema usepe!!
mtie mimba huyo binti baba atakukubali tu mazee,mahari kala alafu analeta za kuleta ?.