Nimetimuliwa na baba mkwe

Hii ndio sababu kubwa ya ujinga wetu
in all african country they show nature,trees and animals because they are the only good ,Healthy and looking things. HUMANS have no value.neglected by corrupt states.😛ainkiller::target:
 

Hii habari yako haijitoshelezi inatakiwa taarifa zaidi. Hii mikakati ya harusi baada ya miezi sita ilikuwa inafanywa na nani? Je baba mzazi wa binti hakushirikishwa? Inakuwaje unamchukua binti toka kwao kwa matembezi ya jioni bila baba kuwa na taarifa kuwa una mpango wa kuoa kwake? Je mlishaonana na kuongea na baba wa binti kabla ya hili tukio au ndio ilikuwa mara ya kwanza unakutana naye?
 
Jamaa naona alisha elezea kuwa baba mkwe ndiye aliyepokea mahari na alikuwa akishiriki kwenye mpango mzima.
yeye baba mkwe ndiye aliyepokea mahari, nashangaa sijui siku zote hakuuona ufukara wangu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…