Nimetofautiana na jirani yangu, naombeni ushauri

Pole sana stickvibration
 
Ningekuwa mimi na wewe akili zetu tungemnyoosha mbona

Upo sawa kabxaa.Nahisi Nahuja hana machungu na nyumba yake wala na familia yake
Na hizi mvua za sasa Radi za kufkia tu hususan ktk miti ya mikaratusi na michongoma
Kama ni mimi nisingepunguza matawi ningeng’oa hadi mizizi
Niangamize familia yangu nyumba yangu kisaaa,!!!

To hell,!!!![emoji1321]
 
Mjumbe/balozi ni shost yake, na ndie kampa kazi ya kuangalia hicho kiwanja mtu asikate mti hapo!!!!
Basi mkuu kama vipi tafuta pesa mvue hicho kiwanja maana naona ndio suluhisho.

Kwasababu hata akiikata akajenga hamtaishi kwa ujirani mwema.

Ila naona kama kutakuwa hamna breakthrough, tafuta hizi herbcides kati ya glyphosate na triclopyr. Fata maelekezo ua miti hiyo, bora miti au uhai wa binadamu?
 
Baba watoto anasemaje?
 
Hhhhhhhhhh! Sio kwa maamuzi hayo
 
Yaani unaamua kuukuza mgogoro!

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…