Khaa yani ulikua unasubiri...love you five naona Erickb52 kachelewa bora tualalishe tu
Naona mambo yakolove u deadly....
Uwiii...acha hizo mambo basii
HeheheheheheHahahahahaa bby hiki kitu ni Kidume sidanganyikiiiii
Abiria chunga mzigo wako..ohoombona una wasi wasi na maisha yako mi wangu Kiwatengu tu sina mwingine ila niliambiwa nipitie kwa erick kupata idhinisho
Nakupa hongera afu unaleta maringo ee...!!sitaki wivu..we si ulikataa?
Keshakagua nusu ya wanawake wote huku cc tumebaki wazee na wanafunzi tu.