interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Bosi unachanganya mada mbili kukosa ela mara ex hata hueleweki tatizo hasa ni niji pesa au mapenzi au neno la Mungu yaan unanitia hasira hadi nasonya kwa sauti
Sent using Jamii Forums mobile app
X wako yuko mbali na ww, X wako wa karibu yuko bize sana, afu unashindwa kabisa kusoma Biblia?
Nitarudi baadaye kdg maana naona ishakuwa sifa kuchanganya giza na nuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...pole Sana mkuu
sent by my TECNO NYEUSI 20 using jamiiforums
mkuu Kama mini tu apa ndo maisha siku moja utaishi fresh tu ni mapito tuHuu ni mwezi wangu wa kwanza, toka nianze kazi private sector.
Sijawai pokea malipo yoyote,
Sina hela wakuu nimepigika balaaa.
Job naonekana kama maisha safi lakin siri naijua mm,
Mfukon nina Jero tu hata chakula cha mchana siwezi kununua.
Job napo kazi zilikua nyingi kinyama nikaitwa kunywa chai nikaringa
Nina hasira kupita maelezo,
Yani nimepita sehemu nikiwa naelekea home,
ombaomba kaniomba hela nimemjibu sina kwa kushauti balaa.
X wangu yupo mbali na mim.
X wa karbu nae yuko busy na mambo yake.
Nilihis mpenz anaweza nifaliji nikikaa na future wife ataniambia maneno mazur, lakin wap hata wakunitia moyo simuoni.
hata nguvu zakusoma biblia sina.
Maana usomaji wangu wa bible huwa hadi akili itulie ndio naweza kusoma somo likaniingia kichwan bila hivo inakua kazi bure.
Nataman ningekua karbu na marafik zangu wa chuo wa kiume, nahs moyo ungesawazika.
Nimekua nikiweza kuhandle hii situation lakin leo nimepatwa na hasira sana.
But one day yes, nitaenda kutafuta kwangu.
Maana najua hapa nipo home saiv najua atakuja na mzazi kunivuruga zaidi na kukwepa siwezi, maana mzee wangu ni kichomi masaa 24.
Lifestyle.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya nini? Kama una smart phone, ingia google play.Huu ni mwezi wangu wa kwanza, toka nianze kazi private sector.
Sijawai pokea malipo yoyote,
Sina hela wakuu nimepigika balaaa.
Job naonekana kama maisha safi lakin siri naijua mm,
Mfukon nina Jero tu hata chakula cha mchana siwezi kununua.
Job napo kazi zilikua nyingi kinyama nikaitwa kunywa chai nikaringa
Nina hasira kupita maelezo,
Yani nimepita sehemu nikiwa naelekea home,
ombaomba kaniomba hela nimemjibu sina kwa kushauti balaa.
X wangu yupo mbali na mim.
X wa karbu nae yuko busy na mambo yake.
Nilihis mpenz anaweza nifaliji nikikaa na future wife ataniambia maneno mazur, lakin wap hata wakunitia moyo simuoni.
hata nguvu zakusoma biblia sina.
Maana usomaji wangu wa bible huwa hadi akili itulie ndio naweza kusoma somo likaniingia kichwan bila hivo inakua kazi bure.
Nataman ningekua karbu na marafik zangu wa chuo wa kiume, nahs moyo ungesawazika.
Nimekua nikiweza kuhandle hii situation lakin leo nimepatwa na hasira sana.
But one day yes, nitaenda kutafuta kwangu.
Maana najua hapa nipo home saiv najua atakuja na mzazi kunivuruga zaidi na kukwepa siwezi, maana mzee wangu ni kichomi masaa 24.
Lifestyle.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu Kama mini tu apa ndo maisha siku moja utaishi fresh tu ni mapito tu
Maisha ya kusubiri kipato mwisho wa mwezi ni ya kimasikini sana ..acha kazi tafuta njia yako ..
Kupangiwa kuamka ..
Kuomba ruhusa ukiumwa..
Njo kitaa tupambane chali wangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Private nyingi mbona hazinaga shida kwenye chakula mkuu??
Pole sana
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah msela umevurugwa na food mixer nini?
kila mtu akianza kuweka matatizo yake hapa. utajiona tajiri sana.. kuna wengine wana mali na kila kitu ila hawapat mtoto.. ndoa haina furaha.. kuna mwingine ana kila kitu ila ana kibamia . mkewe anagongwa nje na watu kama sisi wenye mikasava.Huu ni mwezi wangu wa kwanza, toka nianze kazi private sector.
Sijawai pokea malipo yoyote,
Sina hela wakuu nimepigika balaaa.
Job naonekana kama maisha safi lakin siri naijua mm,
Mfukon nina Jero tu hata chakula cha mchana siwezi kununua.
Job napo kazi zilikua nyingi kinyama nikaitwa kunywa chai nikaringa
Nina hasira kupita maelezo,
Yani nimepita sehemu nikiwa naelekea home,
ombaomba kaniomba hela nimemjibu sina kwa kushauti balaa.
X wangu yupo mbali na mim.
X wa karbu nae yuko busy na mambo yake.
Nilihis mpenz anaweza nifaliji nikikaa na future wife ataniambia maneno mazur, lakin wap hata wakunitia moyo simuoni.
hata nguvu zakusoma biblia sina.
Maana usomaji wangu wa bible huwa hadi akili itulie ndio naweza kusoma somo likaniingia kichwan bila hivo inakua kazi bure.
Nataman ningekua karbu na marafik zangu wa chuo wa kiume, nahs moyo ungesawazika.
Nimekua nikiweza kuhandle hii situation lakin leo nimepatwa na hasira sana.
But one day yes, nitaenda kutafuta kwangu.
Maana najua hapa nipo home saiv najua atakuja na mzazi kunivuruga zaidi na kukwepa siwezi, maana mzee wangu ni kichomi masaa 24.
Lifestyle.
Sent using Jamii Forums mobile app