Nimetokea kulichukia sana neno 'Pan-Africanism'

Nimetokea kulichukia sana neno 'Pan-Africanism'

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
5,566
Reaction score
5,477
PAN-AFRICANISM ni mojawapo ya maneno yaliyotumiwa sana na viongozi wa Africa wenye nia nzuri ya umoja na kutaka kuwaunganisha Wafrica wote Africa na nje ya Africa bila kujali mipaka ya kijografia na mipaka ya kiukoo, kikabila, kidini, kijinsia na kadhalika!

Kwamba waafrica wote ni ndugu na mipaka hii tuliyowekewa na wakoloni ni ya kupuuzwa!

Fast forward, kadri siku zinavyosonga mbele na kila muafrica sasa akiwa huru dhidi ya hao wakoloni bado kitu ukabila na ubaguzi wa kiukooukoo vinazidi kushamiri sana na ni wazi baadhi ya koo zetu zingine haziwezi kabisa kuishi na koo zingine kwa amani.

Sasa, AJABU YA MUNGU, utamsikia mbaguzi wa waziwazi wa waafrica wenzie, muuaji mkubwa, amekazana kusema kwamba yeye ni 'PAN-AFRICANIST' na kwamba ati mipaka ya mataifa angependelea isiwepo, mtu huyohuyo ambaye hawezi kuishi kwa amani na majirani zake wa karibu kabisa kwa sababu tu ya tofauti ya koo au kabila!

Wanafiki hawa kujihusisha na pan-africanism kumeliharamisha neno hilo kwangu kiasi nikisikia wanalitamka natamani kutapika! Africa si moja, tuache unafiki!

NB: Kuna watu waliweza sana kumtumia Mwalimu Nyerere, kwa manufaa yao, na kikubwa sana walichotumia ni kuimbaimba nyimbo zake kama 'PAN-AFRICANISM' na mengineyo ili kuuteka moyo wake! ... SASA HIVI NI MCHANA KWEUPE NA KILA MTU ANAWAONA WACHAWI HAWA!
WATAUMBUKA!
 
Ukitaka kuijua Pan Africanism ni wanafiki kiwango cha 5G, subiri uchezee vikwazo kutoka kwa mabeberu. Hakuna atakae thubutu kufungua mdomo kukutetea.🤔

Hayati Mugabe ana Habari yake.😌
... hakuna watu wanaopenda kutamka kwamba wao ni 'PAN-AFRICANISTS' kama wezi wa silaha wa madini ya Congo!
 
PAN-AFRICANISM ni mojawapo ya maneno yaliyotumiwa sana na viongozi wa Africa wenye nia nzuri ya umoja na kutaka kuwaunganisha Wafrica wote Africa na nje ya Africa bila kujali mipaka ya kijografia na mipaka ya kiukoo, kikabila, kidini, kijinsia na kadhalika!

Kwamba waafrica wote ni ndugu na mipaka hii tuliyowekewa na wakoloni ni ya kupuuzwa!

Fast forward, kadri siku zinavyosonga mbele na kila muafrica sasa akiwa huru dhidi ya hao wakoloni bado kitu ukabila na ubaguzi wa kiukooukoo vinazidi kushamiri sana na ni wazi baadhi ya koo zetu zingine haziwezi kabisa kuishi na koo zingine kwa amani.

Sasa, AJABU YA MUNGU, utamsikia mbaguzi wa waziwazi wa waafrica wenzie, muuaji mkubwa, amekazana kusema kwamba yeye ni 'PAN-AFRICANIST' na kwamba ati mipaka ya mataifa angependelea isiwepo, mtu huyohuyo ambaye hawezi kuishi kwa amani na majirani zake wa karibu kabisa kwa sababu tu ya tofauti ya koo au kabila!

Wanafiki hawa kujihusisha na pan-africanism kumeliharamisha neno hilo kwangu kiasi nikisikia wanalitamka natamani kutapika! Africa si moja, tuache unafiki!

NB: Kuna watu waliweza sana kumtumia Mwalimu Nyerere, kwa manufaa yao, na kikubwa sana walichotumia ni kuimbaimba nyimbo zake kama 'PAN-AFRICANISM' na mengineyo ili kuuteka moyo wake! ... SASA HIVI NI MCHANA KWEUPE NA KILA MTU ANAWAONA WACHAWI HAWA!
WATAUMBUKA!
Mkuu pole sana kwa kuchukizwa na hilo ila ungetoa mifano ya wanafiki hao hoja yako ingekamilika na ungeeleweka vizuri zaidi.
 
Mkuu pole sana kwa kuchukizwa na hilo ila ungetoa mifano ya wanafiki hao hoja yako ingekamilika na ungeeleweka vizuri zaidi.
... hakuna watu wanaopenda kutamka kwamba wao ni 'PAN-AFRICANISTS' kama wezi wa silaha wa madini ya Congo!
 
Mkuu ulimaanisha wezi wanao tumia silaha au wanaoiba silaha wakitokea eneo la Madini ya Kongo??? Jibu lako ni tungo tata. Iiweke vizuri!!
... namaanisha wezi wa madini ya Congo wanaotumia silaha na migambo!
 
PAN-AFRICANISM ni mojawapo ya maneno yaliyotumiwa sana na viongozi wa Africa wenye nia nzuri ya umoja na kutaka kuwaunganisha Wafrica wote Africa na nje ya Africa bila kujali mipaka ya kijografia na mipaka ya kiukoo, kikabila, kidini, kijinsia na kadhalika!

Kwamba waafrica wote ni ndugu na mipaka hii tuliyowekewa na wakoloni ni ya kupuuzwa!

Fast forward, kadri siku zinavyosonga mbele na kila muafrica sasa akiwa huru dhidi ya hao wakoloni bado kitu ukabila na ubaguzi wa kiukooukoo vinazidi kushamiri sana na ni wazi baadhi ya koo zetu zingine haziwezi kabisa kuishi na koo zingine kwa amani.

Sasa, AJABU YA MUNGU, utamsikia mbaguzi wa waziwazi wa waafrica wenzie, muuaji mkubwa, amekazana kusema kwamba yeye ni 'PAN-AFRICANIST' na kwamba ati mipaka ya mataifa angependelea isiwepo, mtu huyohuyo ambaye hawezi kuishi kwa amani na majirani zake wa karibu kabisa kwa sababu tu ya tofauti ya koo au kabila!

Wanafiki hawa kujihusisha na pan-africanism kumeliharamisha neno hilo kwangu kiasi nikisikia wanalitamka natamani kutapika! Africa si moja, tuache unafiki!

NB: Kuna watu waliweza sana kumtumia Mwalimu Nyerere, kwa manufaa yao, na kikubwa sana walichotumia ni kuimbaimba nyimbo zake kama 'PAN-AFRICANISM' na mengineyo ili kuuteka moyo wake! ... SASA HIVI NI MCHANA KWEUPE NA KILA MTU ANAWAONA WACHAWI HAWA!
WATAUMBUKA!
Sasa mafumbo ya nini? Si umtaje huyo mtu! Usilete umbeya hapa. Kama ni Kagame! Tamka Kagame
 
IMG_7728.jpeg


US leo imeingia makubaliano ya madini na Ukraine kwa malipo $350 dollars.

Madini ambayo Congo huko wanavuragana na ndio uchumi wa East.

Sisi ni wasaba kwa hiyo reserves duniani tupo juu ya Congo; bi-tozo na genge la wahuni wamegawa na huko kusini madini yanapochimbwa ni mikoa maskini Tanzania.

Ujaulewa Pan Africanism movement kama njia ya self reliance. Shida sio movement, shida ni uwezo wetu na tabia yetu tegemezi ya wazungu.
 
Back
Top Bottom