salosalo na wewe kama mtoto vile! hizo zingine intro tu ila MAIN TOPIC UMEISOMA! Hizo stori zingine zunguka mbuyu tu au uiltaka niandike kiutu uzima?? GROW UP! Kama kina the boss na asprin dont be so tight on everything!! huku sio jukwaa la siasa wa uchambuzi wa uandishi wa thread
The Boss ndo utandawazi huu, kama hatujachakachuliwa, maana ....
Tatizo sheria za demand and supply zina dictate kwamba dada kachelewa. Max anaweza kupata kesi bure.
Inabidi aanze kumtabiria Max mwingine mapema kabla hajapanda bei na kuchukuliwa.
Maana hata yule mpinga ndoa Kiranga naye anataka kuchukuliwa jumla.
where is Kiranga ??????/
hii ni celebration ya kuua mfumo dume kwenye kutongoza
sasa tusubiri who is next lol
Infidelity is inevitable. Navyomjua mke wa Maxence Melo, kuna hatari mtu akatolewa ngeu hapa. Ngoja tumsubiri aliyedondokewa atachukua hatua gani kwenye hii bahati ya mkenge. Hivi hakuna mdada wa JF aliyenidondokea mimi nikado naye the needful. PM inbox yangu iko wazi incase of.....
Kazi ipo..
Kwa great thinker kama mimi najumuisha kuwa aliyependwa sio Max bali kazi na post zake za JF ("katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder" na hii "simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy!"). Mpendaji anajua kupenda maana yake MECHI ("hata match za ugenini/nje poa tu")tu. Mpendaji anaendeshwa na hisia za watu na si za kwake ( "..niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news"). Kiufupi hafai kuwa mke/ mchumba wala hawala. Kumpa mojawapo ya hizo nafasi ni sawa na kujitwisha gunia la *****. Max chagua kusuka au kunyoa...
Wewe si ndo jf man of the year? Acha kum'bania dada wa watu.
Nawee fanyia mimi kampeni bana. Mi nataka nami nidondokewe na mrembo nisuuze storongo yangu kiJFJF.
Utapata tu Asprin, I am a city woman, i know what i want and i want MAXXX AND ONLY MAX. No other options will be considered. all the best asprin
Kwa great thinker kama mimi najumuisha kuwa aliyependwa sio Max bali kazi na post zake za JF ("katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder" na hii "simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy!"). Mpendaji anajua kupenda maana yake MECHI ("hata match za ugenini/nje poa tu")tu. Mpendaji anaendeshwa na hisia za watu na si za kwake ( "..niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news"). Kiufupi hafai kuwa mke/ mchumba wala hawala. Kumpa mojawapo ya hizo nafasi ni sawa na kujitwisha gunia la *****. Max chagua kusuka au kunyoa...