Nimetokea kuvutiwa na tatoo jamani

Nimetokea kuvutiwa na tatoo jamani

Wa-kishua

Member
Joined
Apr 10, 2021
Posts
29
Reaction score
24
Kam uzi unavojielez nimetokea kuvutiw na tatoo na nahitaj kuchora iwe simple simple tu nilikua nahitaj kujua maeneo gan nawez kupat mchoraj mi nip kimara na gharam zake zikoje zikoje

Screenshot_20210909-173518.png


Screenshot_20210909-173518.png


Screenshot_20210909-173518.png
 
Snoop Doggy naye alianzaga hivi hivi kuvutiwa kila kitu, hatimaye akajikuta akikufuru kuwa kashafanya starehe zote isipokuwa amebakiwa na pale patoapo taka mwili paishiapo misuli ya mwilini.

Kilichofatia ni siri yake mwenyewe maana ukichaa unapozuka huwa haujijui kuwa ni ukichaa.
 
Ingia Instagram mtafute dogo mmoja anaitwa " niiteboshen"
 
80% ya wanaochota tattoo hujutia maamuzi yao baada ya miaka kadhaa kipita!
 
80% ya wanaochota tattoo hujutia maamuzi yao baada ya miaka kadhaa kipita!
Mi huwa naona ni moja ya moral decay,vile vile hata upande wa kuaminiwa ni ngumu mno watu wa matatoo.
 
Nina jamaa alizichora enzi za ujana wake, now analia maana hazifutiki, muda wote anavaa mashati marefu, chora zile zinazofutika kama unazipenda ukizichoka unafuta
 
Kam uzi unavojielez nimetokea kuvutiw na tatoo na nahitaj kuchora iwe simple simple tu nilikua nahitaj kujua maeneo gan nawez kupat mchoraj mi nip kimara na gharam zake zikoje zikoje

View attachment 1930785

View attachment 1930786

View attachment 1930788
Mambo ya Walawi 19:27 Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu. Mambo ya Walawi 19:28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
 
Back
Top Bottom