kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
- Thread starter
-
- #21
Kuna mganga kanisaidia mkuuYule Jini kaacha kukufanyia vitimbi Kwa hiyo ushapata demu mwengine usjali mwana sasa hivi utapata na KAZI kama mambo yashaanza kufungua.
Wanawake wa design hii ni wachache sana siku hiziAliekuwa rafiki yangu wa muda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia SMS za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini, nikamwambia wewe ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa.
Wakuu nimjibuje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu mkeka utaenda kuchanika mwshon mwa mvua hiz za masikaa.,..niamin mimj kiangaz hautakuwa nae..kajitafutia sehm ya kupumzika baada ya kubwagwa huko
Mwambie akupe 0712 alafu ulete mrejesho hapaAliekuwa rafiki yangu wa muda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia SMS za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini, nikamwambia wewe ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa.
Wakuu nimjibuje?
Hii togwa.Aliekuwa rafiki yangu wa muda mrefu sasa toka juzi ameanza kunitumia SMS za kuniita mpenzi mara baby nikawa namvungia leo amenifungukia kuwa ananipenda nikamwambia kwanini anadai nimsikilize hisia zake nikamwambia unadhani tutaendana? Ni pisi kali akajibu kwanini, nikamwambia wewe ni mwanamke mzuri sana bila mimi kuwa na hela tutashindwana tu akajibu kanipenda bila pesa.
Wakuu nimjibuje?