Habari wana Jamii, Kwa kifupi nimeanza kufuga Kuku wa Mayai (Layers) ni mgeni kabisa katika suala la ufugaji kuku wangu kwa sasa wana wiki 10 ila kuna Kuku kama 20 kati ya 300 wanatoa machozi hatari, watalaam wanasema ni mafua nimetumia dawa zoote nazopewa na wataalam hakuna chochote.
Kwa kifupi nafuga kwenye cages hivyo uchafu kwao sio rahisi kabisa. Banda lina hewa la kutosha ila bado napata taabu na Mafua.
Wadau kama kuna mtu anaemfahamu mtalaam naomba nipatiwe i will pay consultations kwa sababu najiona naenda kupata hasara. Au wenye uzoefu naombeni ushauri wenu wadau.
Kwa kifupi nafuga kwenye cages hivyo uchafu kwao sio rahisi kabisa. Banda lina hewa la kutosha ila bado napata taabu na Mafua.
Wadau kama kuna mtu anaemfahamu mtalaam naomba nipatiwe i will pay consultations kwa sababu najiona naenda kupata hasara. Au wenye uzoefu naombeni ushauri wenu wadau.