Nimetumika kwenye Tangazo la TV bika Malipo wala mkataba

sasa mwanzo wakati unaigiza hukujua kama tangazo litatoka au ujinga tu kichwani ?
Niliahidiwa pesa ila ndio hivyo hatukusaini mkataba na kampuni iliyopewa kuandaa tangazo
 
Hili nalo jipu...ilikuwaje hadi ukaonekana kwenye hilo tangazo inamaan ulikuwa hujitambui wakati mnapanga kufanya hilo tangazo au ndo elimu yako ndogo kama ulivosema....
Elimu mdogo au kubwa sio tatizo ,

Na ofcoz kwenye swala la elimu nadhani nina elimu ya kutosha tu ,.. ila wakati nafanya tangazo tulikuwa na makubaliano ya mdomo. Hilo ndio tatizo
 
HILO TANGAZO LINAHUSIANA NA NINI? TUANZIE HAPO .. au utuambie linarushwa saa ngapi? nikufuatilie kama litatoa hela ndefu nifanye udalali kuna mwanasheria nikukabidhi atanipatia mimi 10%
Naomba nikutafute tu kama utanipa msaada , nisingependa ku publish hapa. Itaathiri kesi nzima.
 
Naomba nikutafute tu kama utanipa msaada , nisingependa ku publish hapa. Itaathiri kesi nzima.
...hahahahahaha..swali la kizushi,ulisaini karatasi yoyote?..una mkataba wowote na agency yoyote au agency model?
 
Na wewe lipia Jamiiforums kwa hili tangazo... kwa sababu kila mtu atataka kujua ni nini hicho...
 
napenda kukutaarifu kuwa mahakamani utashindwa tu sababu hakuna maandishi yoyote,, mliyokubaliana
 
Reactions: nao
...hahahahahaha..swali la kizushi,ulisaini karatasi yoyote?..una mkataba wowote na agency yoyote au agency model?
Sina chochote kati ya hivyo.. ila mimi si naonekana kwenye tangazo? Hiyo je haitoshi?
 
cha kufanya negotiate nao kwanza wakupe promise ya malipo kwa maandishi au mkataba u sign ili iwe mwanzo wa kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…