Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

Nimeuelewa ukuta wa JKT unatisha, yeyote akae mguu sawa

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Kama kawaida kama dawa.

Hii timu ya JKT ina beki imara nimetizama kwa jicho la mpira, vijwna wanautulivu wa hali ya juu kuanzia kipa beki mpaka viungo.

Hawabutui hovyo wala hawafanyi makosa mepesi.

Kuna muunganiko nyuma na kati kati.

Ni kama vile kwa mbaali nilidhani ni ukuta wa Yanga.

Yeyote atakayekutana na JKT akae mguu sawa.

Nawasilisha.
 
Atazivimbia timu mbovu zifuatazo.
1. Inayoshiriki shirikisho
2. Iliyotolewa CAF champions lg.
Juzi kati washirikisho aliomba game na ao Makamanda ampime mchezaji wake mpya, walikandwa 1-0 wameji kaushaaa kama hakuna lililo tokea.
 
Juzi kati washirikisho aliomba game na ao Makamanda ampime mchezaji wake mpya, walikandwa 1-0 wameji kaushaaa kama hakuna lililo tokea.
Mkuu
Wewe ni mtu wa mpira ngoja wasubiri nawao yatawakuta kwa nilichokiona leo JKT sio ya kuichukulia poa
 
H
Juzi kati washirikisho aliomba game na ao Makamanda ampime mchezaji wake mpya, walikandwa 1-0 wameji kaushaaa kama hakuna lililo tokea.
Ukuta wa mwamnyeto...ahahahah
 
Wauza biscuit ni walaini tu ngoja waje wazee wa ngija ngija ndio watajua hawajui
 
Yeyote atakayekutana na JKT akae mguu sawa.
Mechi nne zilizopita za JKT Tanzania

Simba 1
JKT Tanzania 0

Azam FC 3
JKT Tanzania 1

Coastal Union 2
JKT Tanzania 1

JKT Tanzania 0
Yanga 0

Katika mechi nne zilizopita, JKT Tanzania imeruhusu mabao 6, na yote ni katika mechi za kabla ya dhidi ya Yanga
 
Wana quality ,
Labda kwa timu mbovu

Mechi nne zilizopita za JKT Tanzania
Simba 1
JKT Tanzania 0

Azam FC 3
JKT Tanzania 1

Coastal Union 2
JKT Tanzania 1

JKT Tanzania 0
Yanga 0

Katika mechi nne zilizopita, JKT Tanzania imeruhusu mabao 6, na yote ni katika mechi za kabla ya dhidi ya Yanga
 
Mechi nne zilizopita za JKT Tanzania

Simba 1
JKT Tanzania 0

Azam FC 3
JKT Tanzania 1

Coastal Union 2
JKT Tanzania 1

JKT Tanzania 0
Yanga 0

Katika mechi nne zilizopita, JKT Tanzania imeruhusu mabao 6, na yote ni katika mechi za kabla ya dhidi ya Yanga
Haijawahi kufungwa uwanja wa nyumbani
 
Back
Top Bottom