GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #141
Mwaisela na Kibasila zote ni Muhimbili.Si kweli,kilichokua kinafanyika ni wakuu wa mikoa walikuwa wanawaapisha wakuu wa wilaya Ikulu na siyo mikoani. Walikuwa wote wanaitwa Ikulu,na Rais alikuwa anashuhudia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka tu Kuujua Upumbavu wenu Mkuu.Ni kweli hujukujua kwamba hao uliowataja wanatakiwa kuapishwa mbele ya wakuu wao wa mikoa??
Tangia lini GENTAMYCINE ni wa CHADEMA?UNaunda hadithi wewe. Seme hukuwa makini au ulikuwa bize na safari za Mbowe.
Kweli na ni tangu uhuru wilaya zilipokuwa chache sana.Siku zote DC anaapishwa na RC
nazungumza angeapa baada ya kupewa kiburi na jiwe, kipindi anaapa hakuwa na kiburi, alipoanza kuteka na kukata maskio na kubaka ndio hapo jiwe alianza kuminda na akapata kiburi.Hujaona hadi picha umewekewa huko juu aliapa kwa Mgwira?
Mataahira nyie
Oke baba KokuKweli na ni tangu uhuru wilaya zilipokuwa chache sana.
Itoshe tu kusema wewe ni Popoma!Pumbavu kama umeweza kuwa na Data ya kukuwezesha kuja hapa JamiiForums unashindwa nini pia kutumia Data hiyo hiyo Wewe Mwenyewe kwa kwenda 'YouTube' na ukaangalia na Kujiridhisha?
Wapumbavu wenzako akina kirengased walikuwa wanabisha kuwa halikufanyika ila ghafla nao wamekubali huku wakijitetea kuwa ilikuwa ni Dharula tu.
Wewe ulikuwa wapi? Siku zote ma DC huapiswa na mkuu wa mkoa, maana yake they are useless, hawana maana yoyote ile.Nimejulishwa kuwa kuanzia sasa ( Awamu ya Mama japo ya Hayati ilijaribu ila ikatoweka ghafla ) ni kwamba ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Mabalozi, Wakuu wa Idara Nyeti na Wakuu wa Mikoa tu ndiyo watakuwa wanaapishwa na Rais akiwa mbele yao.
Kuanzia Wakuu wa Wilaya, DED na DAS sasa watakuwa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoo tu huko ambako wamepangiwa baada ya Kuteuliwa.
Napongeza sana hatua hii ( Maamuzi haya ) kwani kwa Mtazamo wangu GENTAMYCINE nilikuwa naona 'Wateuliwaji' wote hawa ( hasa RC' na DC's ) Kuapishwa na Mheshimiwa Rais ilikuwa ni kutowapa Mipaka yao na hata Kuwafanya DC's wajione wako juu ya RC's wao na wakati mwingine hata 'wakidharauliana' pia.
Sawa DC's wote mmeteuliwa na Mheshimiwa Rais lakini 'Kudadadeki' zenu wote ( nyote ) kuanzia Kesho 'mtaapa' mbele ya RC's sasa ole wenu mkiwa huko mjifanye mpo juu yao au muanze kuwa 'Masnichi' na Kuwapikia 'Majungu' kwa Mama ili 'watumbuliwe' na mpandishwe Vyeo hivyo nyie.
Oya DC mpya wa Siha leo 'Gambe' wapi?
Jambazi linaapaMghwira leo amemuapisha Mkuu mpya wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya katika hafla fupi ya kuapishwa kwa mteule huyo wa Rais Magufuli katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa wilaya za mkoa wa Kilimanjaro,Wakurugenzi,Makatibu tawala wa wilaya, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa pamoja na ndugu na marafiki wa mkuu huyo mpya wa wilaya ya Hai.
View attachment 1824305
check where you have gone wrong, you are being happily fingered.You're an authentic Moron on the Forum.
Naomba utukumbushe DCs na DEDs walioapishwa na Magu..ili watu waweke rekodi Sawa.Mara nyingi kwa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Kabla sijakujibu nami naomba kujua kutoka Kwako je, una uhakika nawe una Akili sawa sawa na zimekutimia?Naomba utukumbushe DCs na DEDs walioapishwa na Magu..ili watu waweke rekodi Sawa.
πππKwahy hawaendi kunywa chai ikulu mbaya sana hii
Nakumbuka walikuwa wanaapishwa na Rais na baadae Makonda alikuwa anawaapisha ma DC wa DSMMara nyingi kwa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Nilitaka kusema hivyo,haijawahi kufanyika hivyo kama anavyosema mtoa Hoja. Wale wote walioapa wakiwa Ikulu waliapishwa na wakuu wao wa mikoa kama inavyofanyika sasa,kilichokuwa kinatokea ni tu Mhe.Rais alikuwa kama mtazamaji tu kama wengine.Pole sana huu utaratibu upo toka JPM akiwa Rais. Pole sana utakuwa ni either una matatizo ya kisaikolojia au una matatizo ya kutofatilia mambo ya msingi
Uzuri wa Hayati Magufuli,yeye alikuwa anataka kuwaona kwa sura hao wateuliwa wake ndiyo maana alikua anataka wote waapishwe pale Ikulu kabla hawajaenda kwenye vituo vyao vya kazi! Na ni kitu kizuri sana,siyo wwe unamuona mtu kupitia file lake tu!!Nilitaka kusema hivyo,haijawahi kufanyika hivyo kama anavyosema mtoa Hoja. Wale wote walioapa wakiwa Ikulu waliapishwa na wakuu wao wa mikoa kama inavyofanyika sasa,kilichokuwa kinatokea ni tu Mhe.Rais alikuwa kama mtazamaji tu kama wengine.
Kumbuka pia DED na DAS hawana kiapo bali walikuwa wanatoa ahadi ya maadili kwa viongozi wa Umma kinachosimamiwa na Kamishna wa Maadili na si vinginivyo.
Mtoa Hoja ungesema unapongeza kwamba kwa sasa wateule wanaapishiwa kwenye mikoa yao husika ungekuwa sahihi.
Hilo la kuapishia Ikulu wateule wengi walilitumia vibaya na kutafsiri kwamba wameapisha na Mhe Rais kama mtoa Hoja anavyoendelea kuamini.
Ahsante.