Nimeukubali usajili wa Mo Dewji. Mgunda Unampa timu leo asubuhi Jioni anakupa matokeo. Record Fadlu haitaji muda.

Nimeukubali usajili wa Mo Dewji. Mgunda Unampa timu leo asubuhi Jioni anakupa matokeo. Record Fadlu haitaji muda.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Timu iko Full Nondo. Ila wachezaji kufunga itategemea uwezo binafsi.

Mechi mbili na Record zake akiwa kocha zinanifanya nimnyime timu fadlu David. Hana plan kamili ya kukaba au Kufunga tofauti na Mgunda.

Sijaona akichora mchoro wowote wa goli. Mechi iliyopita Simba inafuga kwa uwezo binafsi wa wachezaji. No goal plan.

Hivi Mgunda mbona huwa haitaji muda. Unampa timu asubuhi jioni unaona kazi. Niliona alichowafanyia nyasa big Bulet kwao kisha De Agosto.

Anaondoka benchika akiwa analaumu wachezaji hawafungi. Anapewa timu asubuhi Jioni Azam anakula tatu bila.

Maritzburg ilipompa Mda fadlu akaishusha daraja. Orando ilipompa mda akaitoa namba mbili hadi 4.

Ni mzuri akiwa asistance kocha kama Mwinyi zahera na Kaze. Anajenga uwezo wa mchezaji moja moja lakini hana gemu plan.

Tukisubiri tuwe wa Tano ndio tumpe timu mwamba.
 
Timu iko Full Nondo. Ila wachezaji kufunga itategemea uwezo binafsi.

Mechi mbili na Record zake akiwa kocha zinanifanya nimnyime timu fadlu David.

Hana plan kamili ya kukaba au Kufunga tofauti na Mgunda.

Sijaona akichora mchoro wowote wa goli.
Mechi iliyopita Simba inafuga kwa uwezo binafsi wa wachezaji. No goal plan.

Ivi Mgunda mbona huwa haitaji muda. Unampa timu asubuhi jioni unaona kazi.

Niliona alichowafanyia nyasa big Bulet kwao kisha De agosto.
Anaondoka benchika akiwa analaumu wachezaji hawafungi. Anapewa timu asubuhi Jion azam anakula tatu bila.


Maritzburg ilipompa Mda fadlu akaishusha daraja. Orando ilipompa mda akaitoa namba mbili hadi 4.

Ni mzuri akiwa asistance kocha kama Mwinyi zahera na Kaze Certic. Anajenga uwezo wa mchezaji moja moja lakini hana gemu plan.

Tukisubiri tuwe wa Tano ndio tumpe timu mwamba.
Ukimpa timu Mgunda hao marasta wote atawapiga benchi alafu wakina KIbu ndio wanaanza .
 
Kama umeangalia mechi ya costal na azam kabla ya hii game basi usingeanzisha huu uzi.

Huyu kocha wenu utamkataa sio muda mrefu

Costal licha ya kupigwa tano sio timu ya kinyonge

Azam nayo inatisha

Hapo bado vitimu vya mkoani
 
Kama umeangalia mechi ya costal na azam kabla ya hii game basi usingeanzisha huu uzi.

Huyu kocha wenu utamkataa sio muda mrefu

Costal licha ya kupigwa tano sio timu ya kinyonge

Azam nayo inatisha

Hapo bado vitimu vya mkoani
Kwamba ile Coastal timu ya kuogofya sio?!
Timu hata tactical awareness na fitness hawana useme Simba iihofie?!
You can't be serious maan!
 
Timu iko Full Nondo. Ila wachezaji kufunga itategemea uwezo binafsi.

Mechi mbili na Record zake akiwa kocha zinanifanya nimnyime timu fadlu David.

Hana plan kamili ya kukaba au Kufunga tofauti na Mgunda.

Sijaona akichora mchoro wowote wa goli.
Mechi iliyopita Simba inafuga kwa uwezo binafsi wa wachezaji. No goal plan.

Ivi Mgunda mbona huwa haitaji muda. Unampa timu asubuhi jioni unaona kazi.

Niliona alichowafanyia nyasa big Bulet kwao kisha De agosto.
Anaondoka benchika akiwa analaumu wachezaji hawafungi. Anapewa timu asubuhi Jion azam anakula tatu bila.


Maritzburg ilipompa Mda fadlu akaishusha daraja. Orando ilipompa mda akaitoa namba mbili hadi 4.

Ni mzuri akiwa asistance kocha kama Mwinyi zahera na Kaze Certic. Anajenga uwezo wa mchezaji moja moja lakini hana gemu plan.

Tukisubiri tuwe wa Tano ndio tumpe timu mwamba.
Huna akili wewe. Na kama una mimba, huyo mtoto muite Fadlu. Maana kila leo unamuanzishia uzi.

Ule uzi wako kuhusu APR vipi?!
 
Ukimpa timu Mgunda hao marasta wote atawapiga benchi alafu wakina KIbu ndio wanaanza .
Sio kweli. Na hakuna kocha mwenye record nzuri Simba kuliko Mgunda. Mwishoni alipangiwa watu fulani wasicheze. Ili waje kutemwa lkn alipata matokea
 
Huna akili wewe. Na kama una mimba, huyo mtoto muite Fadlu. Maana kila leo unamuanzishia uzi.

Ule uzi wako kuhusu APR vipi?!
Kama ana wwastani wa POINT 1.3 kwa mechi Kwanini nisimnange
 

Attachments

  • Screenshot_2024_0709_192806.png
    Screenshot_2024_0709_192806.png
    240.9 KB · Views: 9
Hivi match ya Leo inafaa kutoa chambuzi juu ya Coaching.
Nadhani tumpe muda tu kama hana mipango itajidhihirisha tu
Tutashtuka tukiwa namba 6. Na mo kaishatukanwa sana kuwa usajili katupiga.
MMbona mgunda huwa haitaji Muda. Au Arteta pale arsenal au Mourinho Chelsea.
 
Kama ana wwastani wa POINT 1.3 kwa mechi Kwanini nisimnange
Upo sahihi ila kwenye mpira hakuna kitu kama inategemea aina ya team pia kwasababu arteta na Guardiola hawakuwa na experience yoyote wakati wanaanza kufundisha wote walikuwa wasaidizi lakini hta nabi na gamond wakati wanakuja yanga hawakuwa na record nzuri walipotoka so let's wait and see. Bado mapema sana
 
Timu iko Full Nondo. Ila wachezaji kufunga itategemea uwezo binafsi.

Mechi mbili na Record zake akiwa kocha zinanifanya nimnyime timu fadlu David. Hana plan kamili ya kukaba au Kufunga tofauti na Mgunda.

Sijaona akichora mchoro wowote wa goli. Mechi iliyopita Simba inafuga kwa uwezo binafsi wa wachezaji. No goal plan.

Hivi Mgunda mbona huwa haitaji muda. Unampa timu asubuhi jioni unaona kazi. Niliona alichowafanyia nyasa big Bulet kwao kisha De Agosto.

Anaondoka benchika akiwa analaumu wachezaji hawafungi. Anapewa timu asubuhi Jioni Azam anakula tatu bila.

Maritzburg ilipompa Mda fadlu akaishusha daraja. Orando ilipompa mda akaitoa namba mbili hadi 4.

Ni mzuri akiwa asistance kocha kama Mwinyi zahera na Kaze. Anajenga uwezo wa mchezaji moja moja lakini hana gemu plan.

Tukisubiri tuwe wa Tano ndio tumpe timu mwamba.
Huu uchambuzi unaweza kuwa mzuri ila nauona kama umewahi sana kuutoa. Kocha ndiyo kwanza ana wiki kama nne tu, na akiwa timu na mpya kabisa. Hata Yanga ilipita huku na Nabi.

Anything involving expertise is not as effective as salt, so respect the process.

Ova
 
Huna akili wewe. Na kama una mimba, huyo mtoto muite Fadlu. Maana kila leo unamuanzishia uzi.

Ule uzi wako kuhusu APR vipi?!
kocha hawezi kufollow watu 1500+ alafu awe bora ni chokoraa tu wa mtaani
 
Nilisema ataua vipawa.
Leo niambie kwanini uafaanisi wa ahoa unashuka na mavambo?Naomba uje leo sasa tuzungumzie viwango vya wachezaji vinapanda au ndio nilivyosema yuko wapi balua na mavambo?
 
Ukimpa timu Mgunda hao marasta wote atawapiga benchi alafu wakina KIbu ndio wanaanza .
Nilisema ataua vipawa.
Leo niambie kwanini uafaanisi wa ahoa unashuka na mavambo?Naomba uje leo sasa tuzungumzie viwango vya wachezaji vinapanda au ndio nilivyosema yuko wapi balua na mavambo?
 
Back
Top Bottom