Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Wakuu sina mengi ya kuandika kabisa ila nahisi naelekea huko kwa wapenzi au wasikikilizaji wa nyimbo ya karubandika ya mtoto wa dandu kama umeisikiliza vizuri ndiyo ambacho nikizingua naenda kukipitia hiko maisha si rahisi kama unavyofikiri ndugu zangu dunia imejaa dhiki na maumivu yasioelezeka na ukiwa na roho nyepesi unaweza kuji hang kabisa.
Afya ya akili ni janga kweli kweli kwa ujinga au kutokujua au kuwafurahisha watu ambao nao hawajali kuhusu wewe au wapo kwa ajili ya maslahi tu aisee moyo wangu umejaa kutu kiukweli leo ngoja nizungumze may be naweza kupata relief unafanya kazi na unapata hela lakini Afya ya akili imenidrive can be depression, stress, anxiety and other oooh God please look at me I'm going to surrender in your world.
After death of my mother kila kitu kilibadilika kwenye maisha yangu it pain alot when I remember my mother nakosa mood ya kuishi kabisa na pia nakosa mood ya kufanya kazi kabisa na sioni furaha ya kazi kiukweli nalipwa mshahara na pia mie ni mfanyakazi wa serikali lakini kuenjoy mshahara na maisha pasipo uwepo wa Mama yangu kwangu maisha, kazi na pesa ni meaningless. I'm struggle depression is real. I'm surrender.🙌🙌🙌🙌
Afya ya akili ni janga kweli kweli kwa ujinga au kutokujua au kuwafurahisha watu ambao nao hawajali kuhusu wewe au wapo kwa ajili ya maslahi tu aisee moyo wangu umejaa kutu kiukweli leo ngoja nizungumze may be naweza kupata relief unafanya kazi na unapata hela lakini Afya ya akili imenidrive can be depression, stress, anxiety and other oooh God please look at me I'm going to surrender in your world.
After death of my mother kila kitu kilibadilika kwenye maisha yangu it pain alot when I remember my mother nakosa mood ya kuishi kabisa na pia nakosa mood ya kufanya kazi kabisa na sioni furaha ya kazi kiukweli nalipwa mshahara na pia mie ni mfanyakazi wa serikali lakini kuenjoy mshahara na maisha pasipo uwepo wa Mama yangu kwangu maisha, kazi na pesa ni meaningless. I'm struggle depression is real. I'm surrender.🙌🙌🙌🙌