SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,892
- 3,112
Simnajua ndugu yenu tokea niachane na mma yenu mdogo kwa kufumaniwa ikanibidi nianze kutafuta mwingine basi jana natoka zangu kariakoo nikapanda gari ya kigamboni kisiwani, kukaa kwenye siti tu nikamkuta dada mmoja mnene MashaAllah kajistiri mweupee shombe shombe
Nikaona hapa naweza nikapata wa kuziba nafasi, nikaanza nae stori mbili tatu tukajikuta story za mahusiano zimeanza nikampa story yangu nikamwanbia naangalia mtu serious w kujenga maisha kama yupo serious tuyajenge akanikubalia kabisa na namba akanipa
Wote tukashuka kituo kimoja Geti jeusi kisiwani pale kuna kushtuka kumbe ana mimba kubwa alivyokaa kwenye siti sikufaham Dah nilijihisi kuumbuka alafu sijui alinichora ua ni vipi na asubuhi kanitext umemkaje
Najiuliza niingie au nikimbie?
Nikaona hapa naweza nikapata wa kuziba nafasi, nikaanza nae stori mbili tatu tukajikuta story za mahusiano zimeanza nikampa story yangu nikamwanbia naangalia mtu serious w kujenga maisha kama yupo serious tuyajenge akanikubalia kabisa na namba akanipa
Wote tukashuka kituo kimoja Geti jeusi kisiwani pale kuna kushtuka kumbe ana mimba kubwa alivyokaa kwenye siti sikufaham Dah nilijihisi kuumbuka alafu sijui alinichora ua ni vipi na asubuhi kanitext umemkaje
Najiuliza niingie au nikimbie?