Nimeumbuka vibaya sana jana,Msitongoze wanawake hovyo

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
10,892
Reaction score
3,112
Simnajua ndugu yenu tokea niachane na mma yenu mdogo kwa kufumaniwa ikanibidi nianze kutafuta mwingine basi jana natoka zangu kariakoo nikapanda gari ya kigamboni kisiwani, kukaa kwenye siti tu nikamkuta dada mmoja mnene MashaAllah kajistiri mweupee shombe shombe

Nikaona hapa naweza nikapata wa kuziba nafasi, nikaanza nae stori mbili tatu tukajikuta story za mahusiano zimeanza nikampa story yangu nikamwanbia naangalia mtu serious w kujenga maisha kama yupo serious tuyajenge akanikubalia kabisa na namba akanipa

Wote tukashuka kituo kimoja Geti jeusi kisiwani pale kuna kushtuka kumbe ana mimba kubwa alivyokaa kwenye siti sikufaham Dah nilijihisi kuumbuka alafu sijui alinichora ua ni vipi na asubuhi kanitext umemkaje


Najiuliza niingie au nikimbie?
 
Endea na yule uliyefumaniwa nae
 
Kubali temporary, tena huyo kwasasa unapiga mashine bila kondom.
Mara nying wenye mimba wanakuaga washapima VvU.
Tena unajipigia kavuuu na huna was was wa mimba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kubali temporary, tena huyo kwasasa unapiga mashine bila kondom.
Mara nying wenye mimba wanakuaga washapima VvU.
Tena unajipigia kavuuu na huna was was wa mimba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jichanganye marekani wamekata misaada ya ARV...
Mimba inaingia kwa mtu yoyote awe hana virusi au mwenye virusi!

Virusi havizuii mimba kuingia!

Usikariri utakuja kufa vibaya wewe!
 
Jichanganye marekani wamekata misaada ya ARV...
Mimba inaingia kwa mtu yoyote awe hana virusi au mwenye virusi!

Virusi havizuii mimba kuingia!

Usikariri utakuja kufa vibaya wewe!
Mkuu hao wanakuaga washapimwa mapemaaaaa, niamini mimi
 
Kitandaa akizai haramu mkuu ,ww Lea mimba ya shombe shombe huyoπŸ˜€.

Wanaume tuna kazi sanaaa..
 
Hatariii kubwaaa na aibu hana mtu uhakika hadi anatoa number kwa hali yake hiyo ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…