mwalimu wenu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 203
- 19
Ilo nalo neno umemaliza college gani
sasa 2ngefanyj?inabidi 2subirie walicho2ahidi,maana walituambia 2andike majina ye2 na 2mefanya hvo sasa cjajua kama walikuwa wanafanya sensa ama vipi hawa tamisemi
Dakawa, Morogoro.
Kwa style hii ya uandishi...wanafunzi wanna kazi
Pole ndugu yangu ugonjwa wetu unafanana awajamaa sijuwi wanalengo gani
Hata cjui wana lengo gani na sisi kwani Dakawa siko pekee angu , kuna wenzangu ambao hawajapangiwa pia,
Naongea hivi kama muhanga wa suala la ajira za uwalimu, tokea yatangazwe majina ya uwalimu ni wiki 3 ivi zimepita na wahusika wakuu ni tamisemi kama wizara husika.Baada yakutangazwa aya majina sikuona jina langu nikaenda pale ofici za tamisemi tukaambiwa tuandike majina kwa wale tuliokosa ajira tukapewa taarifa kuwa watatangaza kwenye mtandao cha kushangaza pale tulikuwa vyuo tofauti tofauti cha ajabu leo naingia kwenye website yao nayaona majina ya st.john tu.Sasa sisi wa vyuo vingine atustahili hii ajira na matatizo yetu yanafanana kulikoni mi nimemaliza SAUT-morogoro JUCO.
Kwa style hii ya uandishi...wanafunzi wanna kazi
sms sent and delivered tatiana
Hahahaaas
hivi kweli hawa jamaa,haya malalamiko yetu wanayaona kweli au tunajisumbua tu,maana na shangaa leo wametoa majina ya walio badilishwa vituo tar 7/4 sisi ndo tumesahaulika kabisaaaaaaaa??!!mh!!.