Nimeunguza acc 2 za forex leo

Euro imenichafua hata mimi but leo soko lipo closed But sitakubaliana na hii loss 250$$ ila sina hofu nazan nita close chini kwakua mtaji upo 2000$+++haina mbaya
Usipokubali loss ya dola 250 basi kuna siku utakubali loss ya dola 1000+!!

Kama ulikua kwenye EURUSD jua imetoka 1.6 ikaenda 1.7 kuna uwezekano ikafika 1.2 ndio i rreverse!! sasa hapo sijui utakua kwenye loss ya ngapi....
 
Ukitaka ufanikiwe ktk forex kitu cha kwanza ukubali kusoma sana vitabu na kuelewa

Pili practice sana ulichokielewa ktk demo mpaka ujihakikishie umeweza

Tatu msome broker kama ni wa ukweli au ni scam,

Tatu usiwaamini sana mentors au usiwaamini kabisa ,amini analysis yako.

Si kila Siku ni ya kutrade, trade smart but not often.

Jitahidi usiwe addicted ,kuna muda utajifunza market hata ukiwa nnje.

Forex ni biashara halali na inaweza kupa faida consistently ila si get rich quick scheme though you can get rich quick

Kuna rafiki yangu amewahi niambia forex ni kama msitu una mengi ndani yake, sasa namuelewa.
 
Usitrade ukiwa busy, pia jifunze technic ya kutrade muda mfupi tu say half an hour or hour ,ikizidi sana masaa manne
 
Ukitaka ufanikiwe ktk forex kitu cha kwanza ukubali kusoma sana vitabu na kuelewa
Hapa ndio kwenye sehemu ambayo wa tz wengi inawashinda...
Tatu usiwaamini sana mentors au usiwaamini kabisa ,amini analysis yako.
Sasa kama mtu kusoma tu ni kitendawili ataacha kuamini kila kitu cha mentor, anyway sio kitu kibaya, ilaunapo ambiwa SELL then na wewe unatakiwa ufanye cross check je ni kweli ni sahihi ku SELL?? then uchukue maamuzi...

Kuna uwezekano kwenye group la forex kuna watu wamechoma sana accounts kwa ule mziki wa EURUSD, na mbaya zaidi ukute hawakuweka hata SL, na kuna uwezekano baadhi hawajui hata kuweka hata hiyo SL!!
 
Siku hiyo Kiduku alinipa $250 kwa dakika 10
 
Kwa wale wanaotaka broker mwenye spread ndogo chagueni TemplerFX utaenjoy sana, pia unaweza kutuma na kutoa pesa kwa M Pesa.

Anayetaka kujiunga link hii hapa. Ukikwama nifahamishe, wao wanataka kitambulisho na namba ya simu tu ndani ya nusu saa unakuwa na account yako

Templer FX Trader
 
E
Usipokubali loss ya dola 250 basi kuna siku utakubali loss ya dola 1000+!!

Kama ulikua kwenye EURUSD jua imetoka 1.6 ikaenda 1.7 kuna uwezekano ikafika 1.2 ndio i rreverse!! sasa hapo sijui utakua kwenye loss ya ngapi....
Nilikua na EC euro/CHaFu
 
nimejifunza kitu hapa... shukrani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…