[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Ukipewa adhabu jeshini unalazimishwa kuimba huu winbo.
Hivi hauna vifungu vinavyoendelea ina maana ni ni huo tuu!
Naomba mwenye winbo wote aniwekee hapa nautafuta sana
Ukipewa adhabu jeshini unalazimishwa kuimba huu winbo.
Hivi hauna vifungu vinavyoendelea ina maana ni ni huo tuu!
Naomba mwenye winbo wote aniwekee hapa nautafuta sana
Upo kwenye album ya Mtaisoma namba[emoji3]Ukipewa adhabu jeshini unalazimishwa kuimba huu winbo.
Hivi hauna vifungu vinavyoendelea ina maana ni ni huo tuu!
Naomba mwenye winbo wote aniwekee hapa nautafuta sana
Lipi jingine la ajabu niliwahi uliza[emoji134]Ila we jamaa huwa una maswali ya ajabu sana.
Sasa hivi kuna huyu jamaa anaitwa Ulisikia Wapi naona anataka kukurithi
Lipi jingine la ajabu niliwahi uliza[emoji134]
Tatizo lako wa stendi bangi zinakusumbua mno, we iweje kila siku ukamatwe wewe tu na kupewa adhabu? Achana na utukutu huu, utakuja kuuliwa na hawa wanajeshi, shauri yako.Ukipewa adhabu jeshini unalazimishwa kuimba huu winbo.
Hivi hauna vifungu vinavyoendelea ina maana ni ni huo tuu!
Naomba mwenye winbo wote aniwekee hapa nautafuta sana
[emoji23][emoji23]Huu hapa - ila una versions nyingi
Version ya Kwanza - DUARA - MPILIPILI (Na Maua Yake Mchikicho)
Version ya Pili - Kilimanjaro Band - Mpilipili Na Maua Yake
View attachment 1662087
Bonus! - Safari Sound Band Mama lea mtoto wangu Chakacha
cc: wa stendi mzee wa kasumba Duduvwili Don Clericuzio .
Wao wanaimba "sijauona" mpilipiliHuu hapa - ila una versions nyingi
Version ya Kwanza - DUARA - MPILIPILI (Na Maua Yake Mchikicho)
Version ya Pili - Kilimanjaro Band - Mpilipili Na Maua Yake
View attachment 1662087
Bonus! - Safari Sound Band Mama lea mtoto wangu Chakacha
cc: wa stendi mzee wa kasumba Duduvwili Don Clericuzio .