Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
ThanksPouleeee
ThanksPole mpendwa.
Ilimradi haijakudhuru basi heri
Basi tu nimejisikia kushare na nyinyiUnataka ushaur gan hapa mama
mpe hela akanunue ogUnataka ushaur gan hapa mama
ohoo zinaharibugi mfumo wa hedthi hizo. leo majira ya saa kumi na moja utapata siku zakoMamboz,
Mimi ni mpenzi sana wa matte liquid lipsticks na kuna duka linajulikana sana ndo huwa nanunua hapo
Week iliyopita nilitoka kununua hizo lipsticks na sikuzitumia, sasa leo nikachukua moja nianze kutumia nikaona ina utofauti nikasema labda hisia zangu nimetoka for lunch namaliza kula naona lipstick imetoka khaaa na sio kawaida nikasema ngoja niangalie vizuri nakuja kugundua ni fake.
Kwa kweli roho imeniuma isitoshe huyo mtu hajawahi kuleta vitu fake nikasema haina shida nitanunua zingine but najiuliza huyu mtu kafanya makusudi kuleta sasa hivi lipsticks hizi fake au hajui? Maana sio kawaida yake.
Hhahahahahaaaa aiseeeohoo zinaharibugi mfumo wa hedthi hizo. leo majira ya saa kumi na moja utapata siku zako
Hahahahahaaaaa hamna bhanalipstick ni ishara ya mtu liyekunywa damu bila kupangusa mdomo.
Shukrani and PoleBasi tu nimejisikia kushare na nyinyi
ThanksShukrani and Pole
Marahaba on their behalfShikamoo JF
Habar zako dada nichek kwa lipstick original njoo pmMamboz,
Mimi ni mpenzi sana wa matte liquid lipsticks na kuna duka linajulikana sana ndo huwa nanunua hapo
Week iliyopita nilitoka kununua hizo lipsticks na sikuzitumia, sasa leo nikachukua moja nianze kutumia nikaona ina utofauti nikasema labda hisia zangu nimetoka for lunch namaliza kula naona lipstick imetoka khaaa na sio kawaida nikasema ngoja niangalie vizuri nakuja kugundua ni fake.
Kwa kweli roho imeniuma isitoshe huyo mtu hajawahi kuleta vitu fake nikasema haina shida nitanunua zingine but najiuliza huyu mtu kafanya makusudi kuleta sasa hivi lipsticks hizi fake au hajui? Maana sio kawaida yake.
Najua zinapouzwa na hapa nilileta coz nilikuwa najisikia kushare ila sio kama sijui zinapouzwa.....thanks thoughHabar zako dada nichek kwa lipstick original njoo pm