Mimi mkristo nimeingia nimefurahi sana ubarikiwe mpendwaHata kama wewe ni Muislam, nakushauri msikilize huyu jamaa, japo tega tu sikio usikilize, utapata faraja. Click the following link [video]http://www.joelosteen.com/Broadcast/VideoStreaming/Pages/VideoStreaming.aspx[/video]
Unafikiri nimemchukia! nimefurahi kapata moyo wa ujasiri kuniambia mapemaPole Dinnah kwa masahibu kajisemea NN miafrika ndivyo ilivyo, eti hakuna connection kwani alivokwambia muanze uhusiano hakujua hilo? Keshakula tundi ndio anajifanya hakuna connection kwani umekuwa umeme wewe, jipe moyo jipange uanze upya wala hujachelewa Mungu yupo atakutafutia wako mwingine wa milele, mtu haolewi na mume wa mtu huyo alipangiwa mwingine wako yuko njiani
Bishanga karibu senene, nimependa sana comment yako[/COLOR] Mkuu kwenye red hapo umechemsha big time,watu humu ndani tupo ambao tunajuana kwa majina,sura,mpaka mitaa tunayoishi na tumekutana humu JF.
Ushauri wa bure: Jitahidi kujali matatizo ya wenzio kama wao watakavyojali ya kwako,muda si muda utajenga urafiki wa karibu na watu wa MMU na si ajabu siku moja wakaja kukutoa kwenye lindi la matatizo ambalo hata nduguzo hawana uwezo nalo.Usidharau MMU/JF kamwe,tulia muda si muda utaona faida yake,kuchimba mkwara hakutakusaidia kamwe,na si katika MMU tu lakini hata katika maisha yako nje ya JF.
Tatizo sie wanawake rahisi sana kupenda, hata kama mtu alikuwa anadanganya we unaweza anza mpenda ki ukweli hapo ndio inakuwa tabu, thanks post yako imenipa nguvuPole sana Dinnah nilishawahi kufeel maumivu kama yako na kuamini ndio mwisho wa maisha yangu
Lakini kumbe lipo tumaini..usikate tamaa yupo aliendaliwa kwa ajili yako..mwenzio leo hata sikumbuki tena
Thanks god tulipewa kusahau ..na wewe taratibu utaanza kuasahau na kuanza maisha yako upya .
Mungu akupe amani na uvumilivu.
Ahsante sana michelle kwa ushauri nina amini Mungu anawezaPole sana Dinnah, ni sehemu ya maisha....kubali na shukuru Mungu kakuambia vizuri tu badala ya kukunyanyasa na kuzidi kukupotezea muda....wanaume wapo bado,ondoa kwenye akili kwamba yeye ndo alikuwa kwa ajili yako....yupo aliye kwa ajili yako,na siku ikifika utakutana nae na mambo yatakwenda vizuri. Jipe moyo,jipende,jitunze zaidi.....Mungu anakupenda na maisha ni lazima yaendelee tu....Blessings!!
nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni
nashukuru sana sana kwa ushauri mzuri the analyst, yaani umeelezea vizuri mpaka nahisi furaha, najua itaenda itaisha na nitajipa muda sana kwa kuwa najinua sio mtu wa kukurupuka, kwa sasa nitajipa nafasi niendelee na masomo litakalotokea mbele ni Mungu anajuaShukuru Mungu jamaa ametamka mwenyewe haoni connection kuliko angeanza kukutenda kwanza kabla hajakutamkia. Inauma zaidi unapovumilia mateso halafu bado mnaishia kuachana. Sioni raha kuachwa lakini nachagua kuachwa kuliko kuacha. Akigundua baadaye kuwa alikokotoa vibaya hesabu zake utakuwa ktk ruling position ya uhusiano wenu na utafurahia zaidi endapo utaamua kuendelea naye.
Umewahi kuwaza; Bahati mbaya ujidhanie humtaki tena jamaa yako, halafu mwaka mmoja baada ya kumwacha ugundue ulifanya kosa kubwa la maisha na sasa unamhitaji kuliko 0xygen? Imagine wakati huo unamkuta jamaa katulia hana haraka na maisha. Unayajua maumivu ya kumwangukia mpenzi wako kumwomba msamaha ili akurejee? Usipate tabu Honey, kwa kuwa unampenda si wewe uliyepoteza mtu bali yeye (kwa ujinga na connection zake) ndo anapoteza mtu anayempenda na kumjali.
Uzuri wa hali yako ni kwamba hata kama mshikaji anao uzuri wa aina gani (kama hujamkosea) hutakaa ujute daima. Hofu yangu ipo kwake. Atakapogundua hicho alichodhania ni connection hakipatikani popote aendapo, atatamani kuwa panya auawe kwa sumu.
Tulia kwanza kabla ya kukimbilia wafuta machozi (rebounds). Baada ya muda wa utulivu utapata mtu utakayempenda na atakayepokea penzi lako kwa moyo wa shukrani. Watu wanasema "Kuwa na uhusiano mzuri si lazima kiwango chenu cha kupenda kilingane". Mmoja anaweza kupenda zaidi na mwenza akalijua hilo, akaliheshimu na kulipokea kwa shukrani. Ukiwakuta watu wa namna hii wanavyothaminiana huwezi kujua ni nani anamzimikia mwenzake zaidi.
[/color] mkuu kwenye red hapo umechemsha big time,watu humu ndani tupo ambao tunajuana kwa majina,sura,mpaka mitaa tunayoishi na tumekutana humu jf.
Ushauri wa bure: Jitahidi kujali matatizo ya wenzio kama wao watakavyojali ya kwako,muda si muda utajenga urafiki wa karibu na watu wa mmu na si ajabu siku moja wakaja kukutoa kwenye lindi la matatizo ambalo hata nduguzo hawana uwezo nalo.usidharau mmu/jf kamwe,tulia muda si muda utaona faida yake,kuchimba mkwara hakutakusaidia kamwe,na si katika mmu tu lakini hata katika maisha yako nje ya jf.
nashukuru sana sana kwa ushauri mzuri the analyst, yaani umeelezea vizuri mpaka nahisi furaha, najua itaenda itaisha na nitajipa muda sana kwa kuwa najinua sio mtu wa kukurupuka, kwa sasa nitajipa nafasi niendelee na masomo litakalotokea mbele ni Mungu anajua
Bebe nang'o
usijali yupo ataujenga moyo wako ulovunjika tena utakuwa moyo imara tunimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni
nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni