Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hivi ni kitu gani Mh. Ruto amekosea.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.
Kwanini wanaharibu miundombinu.
Mh. Ruto alikubali kuwapatia walichotaka kwanini bado wanataka aondoke.
Nimewachukia hawa vijana Mh. Ruto ni kiongozi mzuri sana.
Nimeamua kupost hii video nikiwa na machungu sana.