Hpo umewasahau kina ndanda cosovo na wajelajela original. Hlf ni hadija kimobitel na sio aisha kimobitelUmri unakwenda ila kipindi cha clouds FM na TVT kabla kuitwa TBC walitamba sana.
~ Aisha kimobitel na nyimbo ya Mgumba
~ Mao santiago kipindi yupo Chuchu Saundi
~ Banza Stone
~ Mwinjuma Muumini na nyimbo ya Tunda
~ Njenje
~ FM Academia
~ Acudo sound
~ Twanga pepeta walio tutoka
DDC Mlimani
~ Kilimanjaro band
~ Saida Karoli
Mnaweza kuendeleza..
Mchinga generation wana kipepeoUmri unakwenda ila kipindi cha clouds FM na TVT kabla kuitwa TBC walitamba sana.
~ Aisha kimobitel na nyimbo ya Mgumba
~ Mao santiago kipindi yupo Chuchu Saundi
~ Banza Stone
~ Mwinjuma Muumini na nyimbo ya Tunda
~ Njenje
~ FM Academia
~ Acudo sound
~ Twanga pepeta walio tutoka
DDC Mlimani
~ Kilimanjaro band
~ Saida Karoli
Mnaweza kuendeleza..
Hawa vijana wanaoimba nyimbo za kupaka mate rungu ili liteleze, ndiyo wameua huu muziki.Sijui ilikuwaje mpka Dansi ikafa, ule ulikuwa muziki haswaaa...
Ally, Banza na Muumini walikuwa wanajua nini wanafanya...
Ile Tunda Spesho ilikuwa moto sana, sijui mkulima kala mbegu kakimbilia mjini [emoji3]
Mara mzee wa Farasi, huku katapila dah
Haha [emoji23][emoji23] Mzee huu ndio ukweli Radio zimeua DansiHawa vijana wanaoimba nyimbo za kupaka mate rungu ili liteleze, ndiyo wameua huu muziki.
Maana kupitia mameneja wao, wameweza kuwanunua watangazaji wote wa vituo vya redio na luninga, na hivyo nyimbo zao kupewa upendeleo wa kipekee.