Unishindi mimi nipo kitandani ukisikia umesisimka ujue ni mimi nilikuwa nakutumia kwa mda!!! maana naanza kukuload kwenye vimeng'enyo vyangu!!......lol!OMG list ilikuwa ndefu dear pole KK nakumiss wewe hujui tu
Nimekusoma ila nimeona katikati ya misitari haaa wewe mtoto p.u.n.y.e.t.o tena nimecheka bila kuacha comment
hahaha tunatakiwa tuwape rubusa ya nyetoMie umeniacha hoi ile mbaya
Mtandao gani??labda umepiga ktk no yazamani!!PM no uliyopiga.Halafu mbona hupokei simu wewe lakini
nachagua kurudi kitandani,,c unaona hii posted via nn?au unasemaje?
Ha ha ha ha Babu hujambo lakini salimia basi lohhhh
Halafu wewe leo umelala wapi maana naona unakosea koseaaaa kuandika una nini???
Nimekumiss ile mbaya dear upooo??
nipe masaa mawili ntakuwa home....Haya umesomeka