Okay honey i am waiting :coffee::coffee:please please dont go to sleep give an hr ..
i will b done
Si unajua BIRDS OF SAME FEATHER FLOCK TOGETHER....Dena you know what i meanHa ha ha tayari mshaanza
Hiyo posted via mobile yako naiogopa hebu nenda chumbani kalale ukiamka nipe report
You are done.....................am done
You are done.....................
Hata mie nimewaambia mara waachane mara warudiane wanachekesha hawa watu bana
Aiiiiiiii weweeeeeeehawaeleki lkn inaonekana wanapendana ingawa wote hawajatulia,,,lol
Tunapendana kama Samaki na Maji jamani hayo mengine ni mapitio tuHata mie nimewaambia mara waachane mara warudiane wanachekesha hawa watu bana
Kama hutaki kupokea simu yangu nipigie wewe basi maana nakupigia sikupati
Tryin to tell her thati can see u trying to get things to normal with ur sweetie,,,gud cheer!
Aiiiiiiii weweeeeeee
Tryin to tell her that
You come to love not by finding the perfect person, but by seeing an imperfect person perfectly.
Ndio si ile ya jana wewe nae. Wewe kwanza umeona mapoint ya TF huko??
Leo naona hakana hang'over kameongea point ile mbaya na thanks nimekagongea