Nimewamiss hawa watu Jamani

Nami nilikumiss sana, karibu tena....
 
Same here baby..hope uko poa sasa!!😛opcorn:
 
Na wengine wengi hawa ni wachache tu. NAWAPENDA WOTE SIKU NJEMA


OMG siamini kama nimekusahau. Lakini soma basi na hapo juu dear. Nimekumiss sana

Alternative ya supu nini?
 
Karibu tena mpenzi Dena,tulikumiss pia sana tu...............happy to have you back!!!
 
Karibu Tena!!!
 
Aisee Michelle, tulikubaliana nini afu ukafanya nini sasa?

Babu ulinikimbia jamani???

Nimefanya nini tena Babu?nisamehe bure hata sijajishtukia.....niambie bathi babu mpenzi:laugh:
 
Babu ulinikimbia jamani???

Nimefanya nini tena Babu?nisamehe bure hata sijajishtukia.....niambie bathi babu mpenzi:laugh:

Kwenye PM tulikubaliana nini?

Mi unaanza kuniudhi ujue?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…