Nimewamiss MMU members waliotoweka ghafla

Wengine wamebadili ID, wengine wanazo ID zaidi ya moja, wengine wameamua kuwa mbali na social networks, wengine uchumi umeyumba(bando limekata indefinitely), wengine ni wagonjwa wamelala vitandani(sad!!) na wengine wametutangulia mbele za haki.

Maisha sio pie kuwa yako constant ndugu yangu.
 
Hata mm wakati wwte naweza kutokomea. Kuna umri ukifika unabid uwaachie wadogo zako. Sio baba yupo Jf na mtoto pia yupo jf. Sio vizuri.
Muda ukifika, sitajishughulisha na mtandao wwte wa kijamii.
 
Hata mm wakati wwte naweza kutokomea. Kuna umri ukifika unabid uwaachie wadogo zako. Sio baba yupo Jf na mtoto pia yupo jf. Sio vizuri.
Muda ukifika, sitajishughulisha na mtandao wwte wa kijamii.

Huu ujumbe unatia huruma sana.

Nimefikiria mengi sana baada ya kuusoma.

Naomba Mungu akubariki Gregoire's na kukuongezea miaka yenye heri duniani.

Amina
 
Hata mm wakati wwte naweza kutokomea. Kuna umri ukifika unabid uwaachie wadogo zako. Sio baba yupo Jf na mtoto pia yupo jf. Sio vizuri.
Muda ukifika, sitajishughulisha na mtandao wwte wa kijamii.
Kiongozi, kwani age imeshaenda sana kwa sasa? Mwenyewe nilishasema kuna umri nikifika naachana na MMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…